Vikao vya Harusi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 512
- 140
Magwanda wana uhakika kuwa Rais atatokea CCM.
Washakubali hao,umeona naye ben saanane,pia nae kakubali
Magwanda wana uhakika kuwa Rais atatokea CCM.
vipi na wewe unaoteshwaga na kalumanzila????!!!!!JK anasema watu wasilipize kisasi.Hii ni defensive mechanism
Matumizi ya herufi kubwa na ndogo katika post hii yanakaribisha fikra kwamba mwandishi alishachoshwa na umande katika jitihada zake za awali za kufuta ujinga.
Kadhalika kichwa cha habari kinauliza swali lakini habari aliyoiandika haina swali na badala yake inampongeza JK. Shule shule shule!!
Mwenendo wa kuelekea mwaka 2015 unaanza kujionesha ...Historia ya Nchi Hii imeonyesha wazi kuwa hakuna Rais aliyeweza Kuweka Rais amtakaye akiwa madarakani ...ni Jambo la kujivunia hili....Mwalimu alishindwa ataweza nani ??
Mwalimu alimtaka Sokoine amridhi ( akafariki) akamtaka Salim ( wahafidhina wakamzunguka ..hata Baada ya kuwa amempanga Mwinyi kukataa uteuzi)
Mwinyi ...hakufanikiwa kuweka Rais aliyemtaka mwaka 1995....na safari Hiyo aliyekuwa na karata ni Mwalimu.......hata Mkapa ikibidi afanye u turn mwisho kukubali Kikwete ....hasa kwenye ile hotuba yake ....aliposema.." Sasa ni Zamu ya rika jipya..." Ni wazi alikuwa anaonyesha kuelekeza nani apite...
Kikwete ambaye anaeleweka ni bingwa wa Siasa Za mikakati .....anaelekea hataki kufanya makosa ya watangulizi wake...ni wazi kwa namna Fulani Sasa anajitenga na marafiki zake ...wa mtandao....Alianza kumweka Mbali Lowassa...jambo ambalo ..Membe lilionekana kumpa Nguvu kubwa na kujiendelea kuwa karibu na familia Kuu akifikiri wameshika ticket.......mwelekeo wa Mwezi mmoja uliopita ...UKianza..
1 . Kumkana Membe na Kauli zake Za EAC na coalition of the willing ...na kutoa Kauli mpya iliyoonesha kuwa Membe ni waziri anayetoaa misimamo ya Nchi bila kufikiri,kushirikisha ...Rais au baraza...ilikuwa pia aibu mkizingatia Kauli Za hapo nyuma Juu ya Malawi
2. Jana pale uwanjani aliongelea ...onyo kwa mtu yeyote anayegombea kwa nia ya kulipizaa kisasa ( ni wazi mgombea aliyetoa Kauli ya Kisasi ni Membe peke yake ......aliposema anao " MAADII KUMI NA MOJA" ambao waombe asioteshwe( urais) ..watahama Nchi...
Maneno yote haya yapo na yalinakiliwa na vyombo Vya habari tv ,magazeti na mitandao....
NI WAZI KUWA SASA RAIS ATAMPA UGOMBEA RAIS ATAKAYEPITISHWA NA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPUNDUZI......WANAOGOMBEA KWA KUTEGEMEA KUJIPENDEKEZA KWA RAIS ..MKEWE AU FAMILIA KWA UJUMLA LWA KIGEZO CHOCHOTE WAJUWE SASA KIKWETE HANA UWEZO WA KUTOA MGOMBEA...KAMA AMBAVYO WAGOMBEA WALIOPIGIWA CHAPIO NA MARAIS WOTE WALIOTANGULIA WALIKATALIWA...NA HATA SASA ...KUWA KARIBU NA RAIS HAITAKIWA SIFA BALI NI DISQUALIFICATION....
WAGOMBEA AMBAO WAMESHAGUNDUA KUWA RAIS HANA FUNGUO NA WANAJIWEKA NA WANANCHI AU WANACHAMA....NDIO WATAKAOKUWA NA NAFASI KUBWA ..NAONA KAMA WATATU HIVI ..HADI SASA....UKITOA HUYO MMOJA AMBAYE AMEKUWA KWENYE KWAPA LA FIRST FAMILY....
HONGERA KIWETE KWA KUGUNDUA MAPEMA KUWA HUTAWEZA KUMWEKA RAIS ...UMEJIWEKA HURU.... Na hongera kwa kutoa onyo dhidi ya kisasi ..hili hata Nyerere akiwaonya wazambia..hawakusikia Leo Hii kila Rais anayestaafu Huko lazima afungwe na mrithi wake ...Sasa hivi Rupiah Banda kampokea Marehemu Chiluba ufungwa .......
vipi na wewe unaoteshwaga na kalumanzila????!!!!!
he don't have to defend himself from anyone, the next president will come from the party he is chairing. and more than 2/3 of the mp's will come from the same. why should he be afraid??
leta tafsiri zako za kichaga
humu kazi yetu ni kuwafunga midomo CHAGAZ AND PUPPETS... nawe ni mmojawapo.Pathetic indeed....!
Zilongwa mbali zitendwa mbali!!!!
Pesa zipo ila umekosa pesa za michongo ndo maana unapiga kelele.Jamani hili jambo sio la kuletea mchezo.Ushaabiki wa kanda,dini,kabila,urafiki n.k. hauitajiki.Tunahitaji rais atakae jenga uchumi na kuliweka jungu kuu(hazina) katika hali nzuri.Watumishi wenzangu serikalini wataniunga mkono jinsi hali ilivyo mbaya maofisini.Mambo mengi yamesimama kwa sababu pesa hakuna.Zimebaki siasa majukwaani tu.
Mpende msipende Rais wa Tanzania 2015 ni Zitto Kabwe kupitia Ccm.
Kwa sasa ndie anaepigiwa debe sana na wana Ccm ktk mitandao yote ya kijamii.
Hata baada ya kuvuliwa madaraka yote ndani ya chama chake cha CHADEMA, wana Ccm wengi hawakufurahishwa na hatua hiyo ndio maana wanajitahidi kuhujumu mikutano ya katibu mkuu wa Chadema Mkoani Kigoma.
Zitto ndie pekee hana makundi ndani ya CCM,na ndie mtu pekee ambae anakubalika hata na mwenyekiti wa Ccm hata kutaka kumuoza binti yake.