Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,520
nilitaka maelezo kama hayo ingawa sikuwa na nia mbaya ila hata hivyo kupima ni kuzuri tujuwe status zetu sio kwa kuwa mkeo kafa wakati wa kujifungua ndio umrithi tu mdogo wake bila kupima
kuna mama mmoja mme wake alikufa kwa ajali ya gari halafu baada ya mwaka yule mama akafa kwa ngoma
nilitaka nijue kama alikuwa mkeo au mke wa jamaa yako ndio maana nikawa nakuchokoza
Pole sana kwa kufiwa na mke
Ewaaaaa! Naona hapa taratiiiiibu unaanza kurudi kundini.