Maana kuna baadhi ya ndugu wanapinga sana hasa upande wa mke
Inakubalika kabisa haina shida. hakuna kikwazo cha ndoa hapo. Tena itasaidia sana katika kutunza watoto wa marehemu dada yake: atawatunza (bila shaka) kwa upendo mkubwa zaidi.
Inategemea na hao ndugu mila zao, na pia mazingira ya Kifo cha huyo ndugu yao pamoja na tabia zako wewe mwanaume. Wengi wanapinga hali hii kwa tafsri ya dhana ile ile ya kurithi mke/mume wa nduguyo hasa kwa wakati huu.
Kama mshaingiliana kimwili na huyo mdogo mtu, kuoa inakuwa ni kuhalalisha tu kuishi nae moja kwa moja lakini hata kama ndugu wakipinga ukiendelea kukaa nae na kushiliki nae kimwili kwa stahili hiyo unayosema "mnapendana" na kama analea watoto wa dadae, hakuna tofauti na kuoa.
Cha msingi, ni mwema ujaribu kutumia watu wenye busara ili wajaribu kuwashawishi hao ndugu wanaopinga ikiwa ni pamoja na kuelezea athari kwa watoto na hata mahusinao yaliyokuwepo kati ya familia zenu iwapo ukimleta mke mwingine.
Huyo mdogo mtu anaweza kuwa afadhali kidogo kwa watoto wa dadae na hata kwako kuliko akija mwingine ambaye pengine ni vigumu kuweza kuisoma historia ya familai yako.
Waungwana nisaidieni, kama mke wangu amefariki na kaniachia watoto wawili bado wadogo, mdogo wa mke wangu akaja kunisaidia kwa muds kuangalia watoto, ikatokea tukapendana na tunahaja ya kufunga ndoa, je imekaaje hii wa jameni?
Kwa mujibu wa jamaa yangu mwenye issue hii, kifo kilitokana wakati wa kujifungua, tatizo wanadai inawezekana jamaa alikua anakula kabla ya kifo, maana amewai kuishi nao wakati anasoma chuo fulani,
pia wanadai ni aibu kuoa ndugu
Kwa mujibu wa jamaa yangu mwenye issue hii, kifo kilitokana wakati wa kujifungua, tatizo wanadai inawezekana jamaa alikua anakula kabla ya kifo, maana amewai kuishi nao wakati anasoma chuo fulani,
pia wanadai ni aibu kuoa ndugu
...aaaaaaaaaaah bana, umeanza vizuuuuuri halafu huku mwisho unaanza kuharibu. Be responsible bana, kama ni wewe tukujibu wewe...ukisema ni jamaa yako utaulizwa msimamo wako. Anyway,...
Mimi, ningewapa somo Nia, Sababu na Uwezo wa kumuoa mdogo mtu.
Mazingira ya kifo yapo wazi, huwezi wapendezesha ndugu wote, jali lililo na faida kwako,...
Bi mdogo na watoto wenu.
Hapa ni utata mzee, kama si wewe (jambo ambalo sina shaka sana), mwambie jamaa aache hiyo kitu. kama si muda mfupi tu mkewe kafa na anaonyesha nia ya kuoa mdogo mtu, ndugu ni lazima watamtafsiri vibaya sana na haya ni baadhi tu ya mengi ktk huo uhusiano wataona:
(i) alikuwa anapiga huyo mdogo mtu kabla ya kifo cha mkewe
(ii) yeye na huyo wa mdogo mtu wamehusika kwa hali moja au nyingine kwa kifo cha marehemu
(iii) hakuta kuwa na uaminifu wa dhati mara baada ya jamaa kuoa huyo dada kwani kama alikuwa anapiga wakati mkewe yupo, basi tabia zake, huyo dada atakuwa anazijua kuwa ni "mkwale" wa kutoka nje ya ndoa (iv) ni rahisi kuleta uhasama kwa wanafamilia iwapo ikitokea huyo dada atashindwa kuishi vizuri na watoto wa marehmu nduguye, maneno yatakuwa mengi na taswira ya watoto hao siku za usoni inaweza kuja kuwa si nzuri juu ya huyo dada japo ni ndugu wa katibu wa mama yao.
(v) jamaa anaweza kupoteza heshima huko ukweni na akashindwa hata kuwatembelea au kutembelewa na wakwe zake kwani wazazi watakuwa wakimuona na huyo mdogo mtu wameambatana kama wapenzi wa dhati, wanatakuwa wakimkumbuka sana marehemu mtoto wao na kuona jamaa hakumpenda kwa sana huyo marehemu.
Waungwana nisaidieni, kama mke wangu amefariki na kaniachia watoto wawili bado wadogo, mdogo wa mke wangu akaja kunisaidia kwa muds kuangalia watoto, ikatokea tukapendana na tunahaja ya kufunga ndoa, je imekaaje hii wa jameni?
Mimi sioni ubaya kwanini msioane. Nimekutana na nyingine inafanana kidogo na hii. Mke na mume wameoana wanaishi UK na wanaishi na mdogo wa kiume wa Mume. Mdogo wa mke ambaye pia ni mwanamke alienda kuwatembelea hivi karibuni na kufall in love na mdogo wa mume. Wakauliza ndugu zao kama wanaweza kuwaruhusu kuendelea na mapenzi wao hawakuona tatizo. Sasa penzi limekuwa moto moto vijana wanataka kuoana na ndugu wa pande zote mbili hawana matatizo with exception ya Mashangazi upande wa Mke. Na mke aliandika kwamba Baba yao alishafariki siku nyingi. Sasa sijui hii ya mtu na mdogo wake kuoa nyumba moja nayo imekaaje, lakini kwa maoni yangu sioni tatizo la kaka na mdogo wake wa Baba na Mama mmoja kuoa Dada na mdogo wake wa Baba na Mama mmoja.
...aaaaaaaaaaah bana, umeanza vizuuuuuri halafu huku mwisho unaanza kuharibu. Be responsible bana, kama ni wewe tukujibu wewe...ukisema ni jamaa yako utaulizwa msimamo wako. Anyway,...
Mimi, ningewapa somo Nia, Sababu na Uwezo wa kumuoa mdogo mtu.
Mazingira ya kifo yapo wazi, huwezi wapendezesha ndugu wote, jali lililo na faida kwako,...
Bi mdogo na watoto wenu.
Waungwana nisaidieni, kama mke wangu amefariki na kaniachia watoto wawili bado wadogo, mdogo wa mke wangu akaja kunisaidia kwa muds kuangalia watoto, ikatokea tukapendana na tunahaja ya kufunga ndoa, je imekaaje hii wa jameni?
Hapa ni utata mzee, kama si wewe (jambo ambalo sina shaka sana), mwambie jamaa aache hiyo kitu. kama si muda mfupi tu mkewe kafa na anaonyesha nia ya kuoa mdogo mtu, ndugu ni lazima watamtafsiri vibaya sana na haya ni baadhi tu ya mengi ktk huo uhusiano wataona:
(i) alikuwa anapiga huyo mdogo mtu kabla ya kifo cha mkewe
(ii) yeye na huyo wa mdogo mtu wamehusika kwa hali moja au nyingine kwa kifo cha marehemu
(iii) hakuta kuwa na uaminifu wa dhati mara baada ya jamaa kuoa huyo dada kwani kama alikuwa anapiga wakati mkewe yupo, basi tabia zake, huyo dada atakuwa anazijua kuwa ni "mkwale" wa kutoka nje ya ndoa (iv) ni rahisi kuleta uhasama kwa wanafamilia iwapo ikitokea huyo dada atashindwa kuishi vizuri na watoto wa marehmu nduguye, maneno yatakuwa mengi na taswira ya watoto hao siku za usoni inaweza kuja kuwa si nzuri juu ya huyo dada japo ni ndugu wa katibu wa mama yao.
Jamaa anaweza kupoteza heshima huko ukweni na akashindwa hata kuwatembelea au kutembelewa na wakwe zake kwani wazazi watakuwa wakimuona na huyo mdogo mtu wameambatana kama wapenzi wa dhati, wanatakuwa wakimkumbuka sana marehemu mtoto wao na kuona jamaa hakumpenda kwa sana huyo marehemu.
Mimi sioni ubaya kwanini msioane. Nimekutana na nyingine inafanana kidogo na hii. Mke na mume wameoana wanaishi UK na wanaishi na mdogo wa kiume wa Mume. Mdogo wa mke ambaye pia ni mwanamke alienda kuwatembelea hivi karibuni na kufall in love na mdogo wa mume. Wakauliza ndugu zao kama wanaweza kuwaruhusu kuendelea na mapenzi wao hawakuona tatizo. Sasa penzi limekuwa moto moto vijana wanataka kuoana na ndugu wa pande zote mbili hawana matatizo with exception ya Mashangazi upande wa Mke. Na mke aliandika kwamba Baba yao alishafariki siku nyingi. Sasa sijui hii ya mtu na mdogo wake kuoa nyumba moja nayo imekaaje, lakini kwa maoni yangu sioni tatizo la kaka na mdogo wake wa Baba na Mama mmoja kuoa Dada na mdogo wake wa Baba na Mama mmoja.
Kwa mujibu wa jamaa yangu mwenye issue hii, kifo kilitokana wakati wa kujifungua, tatizo wanadai inawezekana jamaa alikua anakula kabla ya kifo, maana amewai kuishi nao wakati anasoma chuo fulani,
pia wanadai ni aibu kuoa ndugu