johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,028
Apia..!Abood wa Mabasi na Mbunge ni watu wawili tofauti. Kama hujui nakujuza leo.
Kwahiyo wewe unamjua Abood kuliko CCM inavyomjua?Abood wa Mabasi na Mbunge ni watu wawili tofauti. Kama hujui nakujuza leo.
Hahahaaaa.........!Apia..!
Ndo hivyo naona unateseka hujui kuwa kuna Abood wawiliKwahiyo wewe unamjua Abood kuliko CCM inavyomjua?
We tend to underestimate the power of peole and time. Ipo siku viwanda vile vitakuwa shubiri kwa familia ya Abood kama hatafanya lolote mapema. JPM ana nguvu ya kumwambia sababu yeye sio Marehemu Lawrance Gama ambaye wakati ni RC alikuwa anaelewa nini Abood anafanya. For once lets think two steps ahead!Abood wa Mabasi na Mbunge ni watu wawili tofauti. Kama hujui nakujuza leo.
Acheni kulilishwa ujinga ile familiya ni habari nyingine huyo Juma anajikoshaWe tend to underestimate the power of peole and time. Ipo siku viwanda vile vitakuwa shubiri kwa familia ya Abood kama hatafanya lolote mapema. JPM ana nguvu ya kumwambia sababu yeye sio Marehemu Lawrance Gama ambaye wakati ni RC alikuwa anaelewa nini Abood anafanya. For once lets think two steps ahead!
Ikumbukwe kuwa Rostam Aziz alijiuzulu ubunge wa jimbo la Igunga kwa madai kuwa amechoshwa na siasa uchwara.
Je, sasa ataukubali wito wa mwenyekiti wa chama chake CCM Rais Magufuli kwamba kama vipi 2025 agombee ubunge Morogoro mjini na kumfurusha mbunge wa sasa Abood Aziz?
Ikumbukwe kuwa hawa wote ni Aziz.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa...... Hahahaaaa....... Kwi....kwi....kwi.....!Ndo hivyo naona unateseka hujui kuwa kuna Abood wawili
Africa hii kuna familia level nyingine? Familia gani? Wote wanaishi kwa neema za watawala. Siku watawala wakiamua, wote hawa tutawasahau. Unajisikiaje mtu akiua kiwanda halafu anaenda kukopa kwa biashara nyingine?Acheni kulilishwa ujinga ile familiya ni habari nyingine huyo Juma anajikosha
Juma ni mjinga we endelea kumuabudu.Africa hii kuna familia level nyingine? Familia gani? Wote wanaishi kwa neema za watawala. Siku watawala wakiamua, wote hawa tutawasahau. Unajisikiaje mtu akiua kiwanda halafu anaenda kukopa kwa biashara nyingine?