Je, Rostam Aziz ataitikia wito wa kugombea Ubunge Morogoro Mjini?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,745
139,521
Ikumbukwe kuwa Rostam Aziz alijiuzulu Ubunge wa Jimbo la Igunga kwa madai kuwa amechoshwa na siasa uchwara.

Je, sasa ataukubali wito wa mwenyekiti wa chama chake CCM Rais Magufuli kwamba kama vipi 2025 agombee ubunge Morogoro mjini na kumfurusha mbunge wa sasa Abood Aziz?

Ikumbukwe kuwa hawa wote ni Aziz.

Maendeleo hayana vyama!
 
Abood wa Mabasi na Mbunge ni watu wawili tofauti. Kama hujui nakujuza leo.
We tend to underestimate the power of peole and time. Ipo siku viwanda vile vitakuwa shubiri kwa familia ya Abood kama hatafanya lolote mapema. JPM ana nguvu ya kumwambia sababu yeye sio Marehemu Lawrance Gama ambaye wakati ni RC alikuwa anaelewa nini Abood anafanya. For once lets think two steps ahead!
 
We tend to underestimate the power of peole and time. Ipo siku viwanda vile vitakuwa shubiri kwa familia ya Abood kama hatafanya lolote mapema. JPM ana nguvu ya kumwambia sababu yeye sio Marehemu Lawrance Gama ambaye wakati ni RC alikuwa anaelewa nini Abood anafanya. For once lets think two steps ahead!
Acheni kulilishwa ujinga ile familiya ni habari nyingine huyo Juma anajikosha
 
Anawivu na Utajiri wa Aboud maana wasukuma kwa roho mbaya
Screenshot_20201204-194202.jpg
 
Ikumbukwe kuwa Rostam Aziz alijiuzulu ubunge wa jimbo la Igunga kwa madai kuwa amechoshwa na siasa uchwara.

Je, sasa ataukubali wito wa mwenyekiti wa chama chake CCM Rais Magufuli kwamba kama vipi 2025 agombee ubunge Morogoro mjini na kumfurusha mbunge wa sasa Abood Aziz?

Ikumbukwe kuwa hawa wote ni Aziz.

Maendeleo hayana vyama!

Waache wafu wazikane ,hakuna jipya chupa itakuwa mpya mvinyo ule ule.
 
Africa hii kuna familia level nyingine? Familia gani? Wote wanaishi kwa neema za watawala. Siku watawala wakiamua, wote hawa tutawasahau. Unajisikiaje mtu akiua kiwanda halafu anaenda kukopa kwa biashara nyingine?
Juma ni mjinga we endelea kumuabudu.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom