kende
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 3,527
- 1,664
Mwakyembe mnafki sana ndio maana kyela hatumtaki tena.
toka lini wewe ukawa msemaji wa wanakyela? acha ULOFA basi
Mwakyembe mnafki sana ndio maana kyela hatumtaki tena.
nazidi kumdharau huyu mbunge wangu wa Mbeya, Asahau kura yangu!
Hicho kipande cha taarifa mwakyembe alikiacha makusudi alijua lowasa atasumbua mbele ya safari sasa mwacheni lowasa anzishe mjadala leo jangwani muone kama hajaumbuliwaDr. Uliyeiongoza tume ya bunge ya Richmond. Nikuulize; uliwahi dai bungeni kuwa kuna kipande cha taarifa ulikiacha kwa usalama wa nchi. Kwa maana nyingine hukututendea haki kwa kuiacha taarifa hiyo ambayo leo unataka kuitumia kwa maslahi yako. Iweke jf kisha ili tumjue nani mmiliki wa richmond. Ukishindwa wewe utakuwa mwongo na msaliti usiye na uzalendo. Ulitumwa kazi unaleta vipande kwa tamaa zako. Uadilifu wako u wapi sasa?
Kikawaida kabisa, hii wala sio matumizi makubwa ya Akili, Lipoti ilimkwepa nani mkubwa zaidi ya Lowassa kipindi kile? Maana lowassa, Waziri wa Nishati wa kipindi kile, katibu Mkuu nishati na madini waaliachia ngazi na Serikali ikasonga, je Serikali ingedondoka kwa kutoka nani ambae aliachwa na mwakyembe?
????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????[/QUOTE
alikuwa zamani, sasa sio yeye, wametuharibia chama, .....pembeni....