Labda kama wametokana na muunganiko ataweza kuwateua, kuwawajibisha au kuwatumbua.Habari wadau.
Naomba kujua power ya rais wa jamhuri ya muungano Tanzania katika kuwateua ama kuwawajibisha viongozi waliopo Zanzibar
Nyie watu sijui huwa mnatokea wapi!?..kuna smz na kuna sjmtHabari wadau.
Naomba kujua power ya rais wa jamhuri ya muungano Tanzania katika kuwateua ama kuwawajibisha viongozi waliopo Zanzibar