jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Ukifuatilia kwa ukaribu mambo mengi aliyokubaliana wazi wazi na mtangulizi yeye akiwa msaidizi wake kwa sasa amekuwa kinyume nayo.
Mfano suala la machinga Samia katika kikao fulani alichokuwa akipewa maagizo ya kuwasimamia wamachinga alisikika kwa uchungu akichangiza "na umachinga ndizo ajira zenyewe" ajabu sasa ndiye aliyetoa maagizo wafukuzwe katika maeneo walipo.
Suala la pili linalo leta ukakasi ni kuhusu dhuluma.Samia alipoingia madarakani alijinasibu eti hataki kodi za dhuluma akimaanisha maamuzi yale yale aliyoyafanya na mtangulizi wake ajabu baada ya yeye kuwa kiongozi yamekuwa dhuluma!
Leo,kuna tozo za dhuluma wanazokatwa wananchi kwenye miamala ya simu.
Je,Samia ni mnafiki?!
Mfano suala la machinga Samia katika kikao fulani alichokuwa akipewa maagizo ya kuwasimamia wamachinga alisikika kwa uchungu akichangiza "na umachinga ndizo ajira zenyewe" ajabu sasa ndiye aliyetoa maagizo wafukuzwe katika maeneo walipo.
Suala la pili linalo leta ukakasi ni kuhusu dhuluma.Samia alipoingia madarakani alijinasibu eti hataki kodi za dhuluma akimaanisha maamuzi yale yale aliyoyafanya na mtangulizi wake ajabu baada ya yeye kuwa kiongozi yamekuwa dhuluma!
Leo,kuna tozo za dhuluma wanazokatwa wananchi kwenye miamala ya simu.
Je,Samia ni mnafiki?!