Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,576
- 51,383
- Thread starter
-
- #41
Vikao vya UN ni vikao vya kupoteza muda na kula bata tu hasa kwa marais wa Africa. Unakuta Rais toka Africa anapoteza pesa kwenda kuongea nusu saa tu kama sio upuuuzi ni nini! Unachoongea chenyewe hamna anaezingatia. Kazi hiyo anaweza fanya muwakilishi tu sio Rais na msafara wake.
Ian Khama Rais aliyepita wa Botswana alikua haudhuruu kabisa huu upuuzi na nchi yake ilipiga hatua zaidi chini ya utawala wake.
Wakuu naombeni msaada kuna thread ilitoka juzi story yake Inamhusu tajiri ROMAN IBRAMOVIC na hustling zake , nilijisahau ku- subscribe, mtu anayejua ile thread ilipo pls nisaidie, pia kuna watu walio tag-wa you can direct me pls
Thanks
Kumradhi kwa kuvamia hii thread
Kikao cha UN General assembly kinafanyika tena mwezi wa tisa mwaka huu kama ilivyo ada
Ni mwaka wa nne huu wa utawala wa Rais Magufuli hajawahi kusafiri kutoka nje ya Afrika, tofauti na watangulizi wake, Mheshimiwa Magufuli hajahudhuria kikao hata kimoja cha UN General assembly.
Kikawaida vikao vya General assmebly ni vikao vyenye hadhi ya wakuu wa nchi ambapo mambo mengi huzungumzwa pale lakini ukiacha mbali na hapo huwa ni nafasi nzuri kwa mkuu wa nchi mmoja kupata nafasi ya kuongea na kukubaliana mambo mengi ya maendeleo na wakuu wenzie wa nchi mbalimbali.
Kwa sasa mathalani zao letu la korosho limeyumba, huu ulikuwa ni muda muafaka wa raisi Magufuli kuongea na wakuu wenzie wenye viwanda na masoko ya korosho kuona Tanzania inaweza kunufaika na fursa zilizoko kwao.
Lakini pia nchi yetu inahitaji uwekezaji mbalimbali wa mitaji, hii ni nafasi ya kukutana na wafanyabiashara wakubwa ambao hufunga safari kipindi hiki ili waweze kukutana na viongozi wa nchi mbalimbali kuzungumza masuala ya uwekezaji.
Pia kwa kuwa nchi yetu ina utalii basi hiyo pia ni fursa nzuri ya kuongea na wadau wa utalii na kuona namna gani tunaweza kuleta watalii wengi zaidi.
Swali langu ni kwamba Miaka minne Mheshimiwa Raisi hajaenda kukutana na Kiongozi yeyote wa Taifa kubwa na wala hajahudhuria kikao chochote cha UN General assembly.
Je safari hii itaenda?
daah hadi connection mkuu ndio uipateWakuu naombeni msaada kuna thread ilitoka juzi story yake Inamhusu tajiri ROMAN IBRAMOVIC na hustling zake , nilijisahau ku- subscribe, mtu anayejua ile thread ilipo pls nisaidie, pia kuna watu walio tag-wa you can direct me pls
Thanks
Kumradhi kwa kuvamia hii thread
What if akaenda yeye mwenyewe?
Anaogopa akiondoka watu "watapiga dili" huku nyuma.
Mbona unaongea kwa woga? Funguka wewe acha kumbwelambwela! Tamka kimamlaka...nini hoja yako?
Nimuogope nani? Kuna lugha mtu akiongea unajua anasema kutokea nafasi gani. Uko shimoni. Hizi ni lugha za mkosaji. Toka lini kiingereza kimekuwa issue ya muhimu kwa political leaders?
Hata kama anajua kiingereza, akienda Russia na Ufaransa au China anafanyaje? Tunajua nguvi dola iliyonayo kwenye mambo ya diplomasia?
Wewe nawe unajiita mjanja daaaah dunia ina mengi Sana!!!kwa hiyo kule UN wanaenda wanaojua kubwabwaja kiingereza wengine ambao wewe unawarefer Kama washamba coz hawakijui hawastahili kwenda sio?yaaani hapo ndipo upeo wako wa kufikiri ulipoishia?na bado unamlalamikia JPM kusababisha umasikini wako,kwa akili hiyo kweli unastahili kuwa ulivyo!!!!Write your reply...Ataongea na nani na hiyo Enterprentiua yake? hili ni janga la kitaifa.
kumbe ushamba ni ugonjwa sugu!
Kuanzia kwa mtoa mada na wewe mchangiaji, hakuna yoyote mwenye hoja yenye mashiko. Unatamkaje kwa mamlaka wakati tamko unalotoa halina utekelezaji wenye tija? kwenda au kutokwenda hakuna jipya. Bora afanye ziara France au Netherlands au hata Nchi za Scandinavian kuliko UN.
What is the impact of the UN summit in the present world economy? In my views hakuna.
Mbona alienda Rwanda
Wewe nawe unajiita mjanja daaaah dunia ina mengi Sana!!!kwa hiyo kule UN wanaenda wanaojua kubwabwaja kiingereza wengine ambao wewe unawarefer Kama washamba coz hawakijui hawastahili kwenda sio?yaaani hapo ndipo upeo wako wa kufikiri ulipoishia?na bado unamlalamikia JPM kusababisha umasikini wako,kwa akili hiyo kweli unastahili kuwa ulivyo!!!!
Anaweza akaanza kufoka badala ya kuhutubia.How?
Anamaanisha, acha kuwa kama nyumbu, wewe ni binadamu.Mbona unaongea kwa woga? Funguka wewe acha kumbwelambwela! Tamka kimamlaka...nini hoja yako?
Fikra sahihi uja kwa lugha sahihi.Hajui lugha yoyote ya huko duniani huyu atasalimiana na nani? Atabakia bubu muda wote wa kikao. Kwanza hana hata gestures za wanadiplomasia, bora abaki hapa hapa na Bashite asije akatuabisha huko nje