Je, Rais Magufuli atahudhuria kikao cha UN General Assembly cha mwaka huu?


Kule UN kuna mambo ya pembeni yanayoendelea kwenye corridor za diplomasia kuliko kuongea hiyo nusu saa

Kuna kukutana on the sideline na viongozi wenzako wa mataifa mbalimbali mkazungumza ushirikiano

Kuna kukutana na delegations za wafanyabiashara na wawekezaji etc

Ina maana hata Nyerere alipokuwa akienda huko alikuwa anapoteza pesa?
 
Wakuu naombeni msaada kuna thread ilitoka juzi story yake Inamhusu tajiri ROMAN IBRAMOVIC na hustling zake , nilijisahau ku- subscribe, mtu anayejua ile thread ilipo pls nisaidie, pia kuna watu walio tag-wa you can direct me pls

Thanks
Kumradhi kwa kuvamia hii thread
 

Hapa JF angalia kulia kwenye webapage ya JF pembeni mwa jina lako lilipoandikwa, utakuta kialama cha "Search" kikclick hicho halafu type kuhusu Roman Ibramovic, zitakuja thread kibao kumhusu na wewe utachagua unayoitaka
 

Akienda nitahamia Hargeisa.
 
daah hadi connection mkuu ndio uipate
 
Kuanzia kwa mtoa mada na wewe mchangiaji, hakuna yoyote mwenye hoja yenye mashiko. Unatamkaje kwa mamlaka wakati tamko unalotoa halina utekelezaji wenye tija? kwenda au kutokwenda hakuna jipya. Bora afanye ziara France au Netherlands au hata Nchi za Scandinavian kuliko UN.


What is the impact of the UN summit in the present world economy? In my views hakuna.
Mbona unaongea kwa woga? Funguka wewe acha kumbwelambwela! Tamka kimamlaka...nini hoja yako?
 

Bahati mbaya jiwe hawezi kuwa defined as a political leader kwa lugha yeyote ile. Hawezi kwenda kwenye international forum yeyote akaongea kitu kikaeleweka, sana sana ataji-embarass mwenyewe. Na anaujua vizuri ukweli huu; na ndio maana hajathubutu hadi leo kutia mguu nchi yeyote nje ya bara hili.
 
Write your reply...Ataongea na nani na hiyo Enterprentiua yake? hili ni janga la kitaifa.
kumbe ushamba ni ugonjwa sugu!
Wewe nawe unajiita mjanja daaaah dunia ina mengi Sana!!!kwa hiyo kule UN wanaenda wanaojua kubwabwaja kiingereza wengine ambao wewe unawarefer Kama washamba coz hawakijui hawastahili kwenda sio?yaaani hapo ndipo upeo wako wa kufikiri ulipoishia?na bado unamlalamikia JPM kusababisha umasikini wako,kwa akili hiyo kweli unastahili kuwa ulivyo!!!!
 

Ni kwamba Ngosha ana akili au ni mzalendo kuliko wakuu wa nchi wote waliowahi kwenda huko na wanaoendelea kwenda huko?
Je ni mzlaendo kwa nchi yake kuliko Nyerere, Mandela, Castro, Mkapa, Zenawi, Kruschev, Ahmednejad na wengineo?
Maana wote hao wamekwenda kuhutubia UN General Assembly
 

Tatizo lake ni kubwa zaidi ya kutojua lugha. Intellectual inefficiency ndio shida kubwa kabisa. Anajua pia kuwa waandishi atakaokutana nao huko watamuuliza maswali ya kumuabisha (na kukataa kuongea nao itakuwa aibu kubwa zaidi).
 
Ataenda Pole pole kwa Niaba. Mwache mkuu wetu ana mambo mengi sana ya kufanya
 
Hajui lugha yoyote ya huko duniani huyu atasalimiana na nani? Atabakia bubu muda wote wa kikao. Kwanza hana hata gestures za wanadiplomasia, bora abaki hapa hapa na Bashite asije akatuabisha huko nje
Fikra sahihi uja kwa lugha sahihi.
Mbona viongozi wengine wa mataifa mengine wanatumia lugha zao?
Ili kukomesha ulimbukeni wa kutumia lugha za wenzetu,nashauri Mh.Rais pindi atakapokwenda popote nje ya nchi atumie kiswahili.
Walikamani wapo wengi tu na si hivyo tu siku hizi kuna vyombo maalum vya kutafsiri lugha mbalimbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…