radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Mwaka Jana Wakati Rais Akizindua Hostel Mpya Za UDSM Alisema Kwamba Hostel Hizo Zimejengwa Kwa Bilioni 10 Tu Cha ajabu Leo Rais Yuko Simiyu Anatuambia Tena Hostel Hizohizo Za Udsm Zilijengwa Kwa Bilioni 20!! Kimaadili Haipendezi Kiongozi Wa Nchi Kuwa Muongo Muongo!