Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,466
- 13,031
Mkuu huyu jamaa hakuwa tayari kuwa Rais wa Marekani ali beep ikaiitikia ndio maana anapata wakati mgumu kuweka sawa serikali yake. Hana experience yeyote wala hajawahi kushika nafasi yeyote serikali he was just business man and play boy.
Wolff's book says Trump 'never wanted to win the election' | Daily Mail Online
Jan 3, 2018 - Melania Trump was not happy when her husband won the election, and was reportedly in tears ... But since the election, the first lady has seemed to embrace her role alongside her
Kuna watu lakini hapa duniani wana vi smart vya ajabu sana.
I think alikuwa anataka zaidi publicity kwenye ile election zali likamwangukia ki ukweli.
Yaani ana run Nchi kama alivyo run Trump Org.