Je Rais Donald Trump ni Dikteta ?

Je Rais Donald Trump ni Dikteta ?

naona mtoa mada anataka aweke definition yake ya udikiteta ili tu iindane na mambo ya magufuli
 
naona mtoa mada anataka aweke definition yake ya udikiteta ili tu iindane na mambo ya magufuli
Hapa tupo kwenye masuala ya International Issue sasa ya Rais Magufuli yanatoka wapi? If huwezi ku discuss International matters you better step a side
 
Huyu Trump Ni Mtu wa Kuigwa....siyo kwamba matendo yake Ni Mazuri saaana,....la Hasha ila huyu jamaa kama wewe ni Mpambanaji wa Maisha kuna Funzo Kubwa Sana Unaweza Ukalipata kwa huyu Mzee..
-Yaani Main Stream Media karibu 90% zinamchafua Daily lakini jamaa yupo tu
-walimshambulia sana eti kawatukana Waafrika lakini haikufua Dafu....
-Walimwita mbaguzi wa Kijinsia sasa kawajibu kwa Kumuweka Afisa habari wa Ikulu Mwanamke , Muwakilishi wa USA kwa UN mwanamke, na Bado Keki ya CIA kampa Mwanamke (hapa Democrat wameufyata)
-Anakwambia hashindwi na Hajawahi Kushindwa....

Hivi Mauzo ya Kile kitabu Cha Fire & Fury yanaendeleaje manake watu walitabiri Kitamwondoa White House......
Jambo moja tu ninalompendea Trump ni ukweli wake mtupu juu ya nchi masikini kama Tanzania, watu na viongozi wake. Hili tu ndilo ninakubaliana na Trump. Muda wa kubembelezana na kuwa politically correct haupo tena. [HASHTAG]#ShitholeCountries[/HASHTAG]
 
kuna hawa watu so called trump silent supporters.
wanamkubali kimya kimya, coz hawatak kuwa labelled kama racist or white supremacist
 
Kwa sababu ni wa marekani sio dikteta ila inhekuwa hapa tz, ufipa wangesema ni dikteta. Kwao mchapa kazi ni dikteta.
 
Kichwa chake sio cha kisiasa na pia huwezi kuwa dikteta marekani kamwe hilo haliwezekani wao sera yao ni liberty kwanza. Ubabe ni kwa mataifa ya dunia ila sio ndani pale.

Majority walimpendelea yule mama sasa kaingia mtu ambae hawampendi hapo pagumu lazima asemwe vibaya tuu hata afanye lipi jema.
 
Back
Top Bottom