Je Rais Donald Trump ni Dikteta ?

Je Rais Donald Trump ni Dikteta ?

JFK mwaka 1962 ali poteza japo alikuwa amefanikiwa ku solve cuban missile Crisis.

Ujue presidential elactions huwa zinakuwa na hisia. Sasa wale walio poteza kwenye uraisi huwa wana ibuka kwenye vi midrerm.
Wanao mpenda Rais watarud kumuokoa uchaguzi mkuu tenaa!
Sema kwa kuwa Trump ni unique character sja jua ata react vipi.


Heheheh!, "Unique Character" haki nimecheka!

It's going to be Interesting unajua wakipoteza?!, I can't wait, haki Trump atatukana! 😀😀😀😀😀

Kama juzi tu wakati ana campaign kamwita Todd S.O.B hata sijui alimuudhi nini?!, sembuse apoteze uchaguzi!
 
Heheheh!, "Unique Character" haki nimecheka!

It's going to be Interesting unajua wakipoteza?!, O can't wait, haki Trump atatukana! 😀😀😀😀😀

Kama juzi tu wakati ana campaign kamwita Todd S.O.B hata sijui alimuudhi nini?!, sembuse apoteze uchaguzi!
Hahahah
Eeeh, pia US haija wahi kuchagua marais kwa vipinidi viwili mfululizo kwa awamu 4 mfulilizo.
Jefferson-Madison-Monroe hiyo ilikywa ni miaka ya 1800 hadi 1825
Hapo kati kooite haikutokea.
Wakaja Clinton-Bush- Obama 1992-2017

Trump historia bado haiko upande wake kupewa second term. Lakini he can defy the odds

Hahahaha! Chck Todd na kakipindi kake kale si huwa ana msema President kwa hiyo jamaa aka mind nilichekaa!
 
Hahaha
Kama uliangalia ile apprentince wako Omarosa na Piers Morgan haha
Omarosa naye ni impulsive kama alivo Rais. Na Jamaa huwa ana mpenda Omarossa mnoo. Ana ana jeuri yule sista acha tu.
Sema Kelly alimconvince Rais kuwa Omarosa hana kazi hapa analipwa bure tu.
Baadaye akajiharibia kwa kwenda kupiga picha za harusi yake Ikulu wakati dingi yuko Mar a lago.
Haha unasubiri kitabu akati alisha anza kuongea kwenye ile Celebrity Big brother. We mfuatile utaona ana toa toa umbea kule.


Heheh!, akaenda kujiachia na picha Ikulu wakati mzee hayupo?, haki ya nani..
Nakumbuka kuna mtu(probably reporter) aliulizwa hili swali kuhusu role ya Omarosa na hakukuwa na jibu la uhakika.
Kajiaribia fulani lakini, manake hata blacks wengi pia sidhani wanamfagilia ki hivyo sana.
 
Heheh!, akaenda kujiachia na picha Ikulu wakati mzee hayupo?, haki ya nani..
Nakumbuka kuna mtu(probably reporter) aliulizwa hili swali kuhusu role ya Omarosa na hakukuwa na jibu la uhakika.
Kajiaribia fulani lakini, manake hata blacks wengi pia sidhani wanamfagilia ki hivyo sana.
Yes alienda na akaingiza crew lake Ikulu bila kibali, hilo hata Trump lilimkera.

Tatizo ni kuwa hapendwi na blacks halaf na Omarosa naye hapendwi na blacks wenzio, she was a wrong representative. Na she was paid alot
 
Mi nakumbuka Obama na Bush, hao wengine ni kupitia historia zao tuu usje ukadhani nilikuwepi mwaj 1948 [emoji23].

Mi Obama hadi leo huwa sjui alishindaje 2012! Lakini ndio ujue midterm hazi determine chochotee.

Bush ali handle fresh 9/11 yenyewe ila baadaye alikuja kushindwa ku handle uchumi, alianzisha vita ambayo haikuisaidia US na watu walikufa sana na ina washinda mpaka leo, na baadaye iligundulia walidanganya umma Kwani Silaha za hatari walizo sema ziko kwa Saddam hazikuepo.

Actually kwangu mimi nasema Donald is a whack person, but Bush was worse he had Whack policies.


Hahaha!, siwezi kudhani kama ulikuwepo 1948?!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umenichekesha mweh! [emoji28]

Yeah!, ya Obama was something ni kweli, tena kuzingatia Dems walikuwa wamepoteza and then Romney was the same popular.
Trump hataki mchezo, ameshatoa na slogan ya 2020!

Lakini umenifanya nianze ku imagine hizo Midterms, Sipati picha ya unique character Republicans wakipoteza [emoji3]
 
Hahahah
Eeeh, pia US haija wahi kuchagua marais kwa vipinidi viwili mfululizo kwa awamu 4 mfulilizo.
Jefferson-Madison-Monroe hiyo ilikywa ni miaka ya 1800 hadi 1825
Hapo kati kooite haikutokea.
Wakaja Clinton-Bush- Obama 1992-2017

Trump historia bado haiko upande wake kupewa second term. Lakini he can defy the odds

Hahahaha! Chck Todd na kakipindi kake kale si huwa ana msema President kwa hiyo jamaa aka mind nilichekaa!


Hehehe, Trump namba nyingine aseh!

Trump 2020 labda sijui Dems waje na nani wa kumuondoa in one term.
The recent once with one terms, Bush H. Unaweza sema Clinton was unstoppable.
Haya Carter nae, the movie star Reagan was, well...The Movie Star!
Sasa Trump sijui nani so far anaweza kusimama nae na kuwa na Uhakika, with all this WH chaos.
 
Hahaha!, siwezi kudhani kama ulikuwepo 1948?!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umenichekesha mweh! [emoji28]

Yeah!, ya Obama was something ni kweli, tena kuzingatia Dems walikuwa wamepoteza and then Romney was the same popular.
Trump hataki mchezo, ameshatoa na slogan ya 2020!

Lakini umenifanya nianze ku imagine hizo Midterms, Sipati picha ya unique character Republicans wakipoteza [emoji3]
Hahaha, anhaa! Usjali
Anhaa usje ukahisi mimi ni mzee, unaweza zuia mipango ya Mungu.

Obama 2012 alikutana na bad candidate, A Republican had to win that election. Na Romney ile kauli ya 47% ya waamerika ni wavivu sjui ilimuuaa.

Trump mwenyewe sidhani kama Muller ata mwacha salama. Ila ajiandae tuu.

Haaa! Trump si unamjua! Wakishindwa midterm atasema si makosa yake ata walaum kina Mitch na Paul.

Uchaguzi wa juzi wa Pen uskushtue, yule Lamb ni center Right democrat yaan ana ungana na Trump kwenye mengi kuliko hata kina Pelosi, handsome, navy veteran and young yaan nilijua kabsa lazma ashinde pale japo ilikuwa nail biter.
 
Hehehe, Trump namba nyingine aseh!

Trump 2020 labda sijui Dems waje na nani wa kumuondoa in one term.
The recent once with one terms, Bush H. Unaweza sema Clinton was unstoppable.
Haya Carter nae, the movie star Regan was, well...The Movie Star!
Sasa Trump sijui nani so far anaweza kusimama nae na kuwa na Uhakika, with all this WH chaos.
Nadhani Biden atamshinda trump
Au kama kuna Gavana yeyote wa Southern states he has more chance.
Ila waki waleta kina Warren, kina Kamala Harris na yule jamaa wa NJ nadhani Booker. Trump anashinda asubuhi tuu. Republicans will hold their nose and vote for him.
Kumshinda Trump lazima umuweke candidate wa Center left. Ili amnyang'anye Trump baadhi ya Midde class votera na White voters .
Kwa hiyo kazi kwa Dems kichagua mtu mzuri.

Bush sr 92 ulimuua uchumi na kupandisha kodi, si unakumbuka 1988 ile "read my lips no new taxes" halaf baadaye akapandisha tax, japo nadhani he was the best one term presidents labda umtoe James Polk ambaye yeye ilikuwa long time.
Carter alifeli moja kwa moja kwa kweli hata angegombea mtoto mdogo likely ange mshinda. [emoji23]
 
Wangekuwa dikteta , Wananchi wake wangemkosoa kwa staili mbali mbali?
Huko kuliko Rais wa nchi yako hukubari kukosolewa?
 
Hahaha, anhaa! Usjali
Anhaa usje ukahisi mimi ni mzee, unaweza zuia mipango ya Mungu.

Obama 2012 alikutana na bad candidate, A Republican had to win that election. Na Romney ile kauli ya 47% ya waamerika ni wavivu sjui ilimuuaa.

Trump mwenyewe sidhani kama Muller ata mwacha salama. Ila ajiandae tuu.

Haaa! Trump si unamjua! Wakishindwa midterm atasema si makosa yake ata walaum kina Mitch na Paul.

Uchaguzi wa juzi wa Pen uskushtue, yule Lamb ni center Right democrat yaan ana ungana na Trump kwenye mengi kuliko hata kina Pelosi, handsome, navy veteran and young yaan nilijua kabsa lazma ashinde pale japo ilikuwa nail biter.


Umenikumbusha, yaani Ile 47% ya Romney, ilikuwa 100% ya Obama, ikamtengenezea mjaluo njia nyeupe ya 2nd term.

Mueller nae anavyokuja juu, naona kama kuna kamchezo fulani mpaka kamechezwa na WH jana. All of the sudden WH imewekea Russia Sanctions, at this time?!, is just timing au ni kwa vile Mueller ame subpoena Trump Org juzi?!

Teh!, Trump simmalizi, unafahamu vizuri sana aseh, Republicans wakishindwa kwenye Midterms atawaruka futi Mia. Na wakishinda atasema ni yeye ndio amefanya washinde...lol
 
Umenikumbusha, yaani Ile 47% ya Romney, ilikuwa 100% ya Obama, ikamtengenezea mjaluo njia nyeupe ya 2nd term.

Mueller nae anavyokuja juu, naona kama kuna kamchezo fulani mpaka kamechezwa na WH jana. All of the sudden WH imewekea Russia Sanctions, at this time?!, is just timing au ni kwa vile Mueller ame subpoena Trump Org juzi?!

Teh!, Trump simmalizi, unafahamu vizuri sana aseh, Republicans wakishindwa kwenye Midterms atawaruka futi Mia. Na wakishinda atasema ni yeye ndio amefanya washinde...lol
Kwa kweli Romney alinikera he chocked Sidhani hata kama wamarekani wanajuaga hili, Trump yeye anaona ukutaja Russia na Muller kwake ni ku question legitimacy ya ushindi wake, na kutaka kumtoa kwenye power.
Uzuri ni kuwa US wana system nzuri za serikali hata kama Trump angekataaje deep state ikisha amua ime amua
Hana namna.
Ila na point yako nime ielwa ukute subpoena ilichangia [emoji1] nilikuwa sihawaza hilo.
Wewe ni analyst mzuri kuliko hata mimi, yaan nilishndwa ku connect hapo
 
Nadhani Biden atamshinda trump
Au kama kuna Gavana yeyote wa Southern states he has more chance.
Ila waki waleta kina Warren, kina Kamala Harris na yule jamaa wa NJ nadhani Booker. Trump anashinda asubuhi tuu. Republicans will hold their nose and vote for him.
Kumshinda Trump lazima umuweke candidate wa Center left. Ili amnyang'anye Trump baadhi ya Midde class votera na White voters .
Kwa hiyo kazi kwa Dems kichagua mtu mzuri.

Bush sr 92 ulimuua uchumi na kupandisha kodi, si unakumbuka 1988 ile "read my lips no new taxes" halaf baadaye akapandisha tax, japo nadhani he was the best one term presidents labda umtoe James Polk ambaye yeye ilikuwa long time.
Carter alifeli moja kwa moja kwa kweli hata angegombea mtoto mdogo likely ange mshinda. [emoji23]


'Will hold their nose and vote for him'
[emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Haki wewe! [emoji1]

This's Interesting about 2020, Biden kama atakuwepo and all them will be amusing to watch..

Jamani Carter, eti hata mtoto angemshinda..lol
But then Reagan turned out to be one of the best Presidents.
I appreciate darasa! [emoji108]
 
'Will hold their nose and vote for him'
[emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Haki wewe! [emoji1]

This's Interesting about 2020, Biden kama atakuwepo and all them will be amusing to watch..

Jamani Carter, eti hata mtoto angemshinda..lol
But then Reagan turned out to be one of the best Presidents.
I appreciate darasa! [emoji108]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hata 2016 si ndio walivo sema, kuliko Hillary, wacha tujarib huyu hiyu.

Tatizo Biden atakuwa na miaka 78 he will be too old. Na vijana wa democrats wengi ni far left, ata pata shida kwenye Primary. Ila akipenya tuu. Moderate republicans woote wake.

In 1980 it was a win win for both
After a disastrous presidency and worse defeat, Carter alirud nyumbani na amekuwa na the best post-presidency time now people respect him. Akapata hadi Nobel, he is a good man.
Reagan kwa kuwa watu walikuwa wana mu underestimate he did bettter nadhani kwa modern Presidents Reagan namkubako sanaa "The Gipper"
 
Kwa kweli Romney alinikera he chocked Sidhani hata kama wamarekani wanajuaga hili, Trump yeye anaona ukutaja Russia na Muller kwake ni ku question legitimacy ya ushindi wake, na kutaka kumtoa kwenye power.
Uzuri ni kuwa US wana system nzuri za serikali hata kama Trump angekataaje deep state ikisha amua ime amua
Hana namna.
Ila na point yako nime ielwa ukute subpoena ilichangia [emoji1] nilikuwa sihawaza hilo.
Wewe ni analyst mzuri kuliko hata mimi, yaan nilishndwa ku connect hapo


Oh!, pleease, sikufikii bhana!!!
Napenda unavyo chambua different states individually, with their influence in the country's major decisions kama vile General Elections.
Ni kweli zinatofautiana sana tu.
 
Oh!, pleease, sikufikii bhana!!!
Napenda unavyo chambua different states individually, with their influence in the country's major decisions kama vile General Elections.
Ni kweli zinatofautiana sana tu.
Hahaha
Naweza nikasema mimi ni more of a historian
Wewe ni more of political analyst, you are better.
Unatoa idea mie ndio najaribu kuipima kwenye laboratory yetu ambayo ni historia.
I kinda like our convos.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hata 2016 si ndio walivo sema, kuliko Hillary, wacha tujarib huyu hiyu.

Tatizo Biden atakuwa na miaka 78 he will be too old. Na vijana wa democrats wengi ni far left, ata pata shida kwenye Primary. Ila akipenya tuu. Moderate republicans woote wake.

In 1980 it was a win win for both
After a disastrous presidency and worse defeat, Carter alirud nyumbani na amekuwa na the best post-presidency time now people respect him. Akapata hadi Nobel, he is a good man.
Reagan kwa kuwa watu walikuwa wana mu underestimate he did bettter nadhani kwa modern Presidents Reagan namkubako sanaa "The Gipper"


Hahaha!, jamani the Clintons acha kabisa. Republicans waliwapangia mkakati haswa kuwa defeat. Sio mchezo.

Hii ya Biden sasa nimeelewa vizuri. Lakini kwenye GE hawezi poteza votes za vijana pia?!
But thing is, the way Trump is behaving I don't think any demographic inamfagilia ki vile apart from his 37% die hard fans.
 
Hahaha
Naweza nikasema mimi ni more of a historian
Wewe ni more of political analyst, you are better.
Unatoa idea mie ndio najaribu kuipima kwenye laboratory yetu ambayo ni historia.
I kinda like our convos.

True, you're a good historian!
The way you articulately relate the past, present and how it'll affect the future politics, is awesome!

I love this convo!, I enjoy politics it don't get boring..[emoji3]
 
Hahaha!, jamani the Clintons acha kabisa. Republicans waliwapangia mkakati haswa kuwa defeat. Sio mchezo.

Hii ya Biden sasa nimeelewa vizuri. Lakini kwenye GE hawezi poteza votes za vijana pia?!
But thing is, the way Trump is behaving I don't think any demographic inamfagilia ki vile apart from his 37% die hard fans.
Hahaha
Vijana wengi kwenye GE wakiambiwa wachague jiwe au Trump watachagua jiwe. Ikiwa DNC hawata leta zengwe kama walizo mfanyia Sanders basi vijana wata mvote yyte.
Ikiwa kuna low turn out, Trump atashinda (like Bush 2004) kukiwa kuna high turn out ana shindwa asubuhi tuu.
Hiyo 37 ya trump usi ipimie ni wale loyal ambao wata amka sku hiyo asubuhi tuu wata mpigia kura. Trump hata akishinwa hata shindwa vibaya kama Carter [emoji23] it will be close
 
Hahaha
Vijana wengi kwenye GE wakiambiwa wachague jiwe au Trump watachagua jiwe. Ikiwa DNC hawata leta zengwe kama walizo mfanyia Sanders basi vijana wata mvote yyte.
Ikiwa kuna low turn out, Trump atashinda (like Bush 2004) kukiwa kuna high turn out ana shindwa asubuhi tuu.
Hiyo 37 ya trump usi ipimie ni wale loyal ambao wata amka sku hiyo asubuhi tuu wata mpigia kura. Trump hata akishinwa hata shindwa vibaya kama Carter [emoji23] it will be close


Hahaha!, eti watachagua jiwe...LOL!

Aseeh Umenikumbusha kuna mtu nimemsoma juzi, yaani yeye Trump alivyoshinda akaamua kuachana kabisa kufatilia Politics na News jinsi aliboreka.
Juzi hapa ndo akaamua aangalie kuona nini kinaendelea, ndo anagundua kuna R. Mueller. na uchunguzi, Comey alishaondoka siku nyingi na mambo mapya kibao....lol!
 
True, you're a good historian!
The way you articulately relate the past, present and how it'll affect the future politics, is awesome!

I love this convo!, I enjoy politics it don't get boring..[emoji3]
Hahaha
Nakuwa good historian kwa kuwa analysis yako ina niwekea dead balls i just kick em. Id rather spend whole night talking to you. Kuliko hata kuwa kwenye nyuzi zingine.

American politics kwa kweli is interesting, hasa nikikutana na wajuzi kama wewe, cba ajab historia ya Tanganyika ina nsunbua[emoji23] ila ya Us iko kwa kichwa.

Wewe na mimi huwa tuna click tuu,.hata tukiongelea diamond tunajikuta tuna enjoy.kama tuna kaformula ketu hivi ka convos.
 
Back
Top Bottom