GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,920
Hivi Mchezaji aliyeko Uwanjani tena katika Mechi ngumu na anajitahidi akiona Kocha Mkuu kamuamsha Mchezaji wa namba anayocheza Yeye anaimarika Kiuchezaji au Kisaikolojia ndiyo anaathirika na kujikuta anaharibu kabisa na Kuigharimu Timu?
Maoni yenu yatasomwa nae Muunguja.
Maoni yenu yatasomwa nae Muunguja.