Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,350
- 271,736
Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.
Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .
Wenye akili wamenielewa .
