Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,524
Hahahahahahaha, Umegusa penyewe. Au ni Kijana Wake!Wewe ni Mwang'onda ?
Hahahahahahaha, Umegusa penyewe. Au ni Kijana Wake!Wewe ni Mwang'onda ?
nilimstukia mapema sana !Hahahahahahaha, Umegusa penyewe. Au ni Kijana Wake!
Mwandosya ni mstaarabu, ataenda kuonana na Rafiki yake Magufuli.Mkoani Kagera Mzee Kagasheki alikataa kata kata kuwa miongoni mwa wazee watakaompokea Rais alivyokuja kwenye ziara ya kutoa pole mkoani Kagera baadae baada ya ziara ile kuna vijineno alianza kuwa anaviandika kupitia twitter.
Sasa je najiuliza Prof. Mark Mwandosya atavunja ukimnya na kwenda kumlaki Rais?
Karibuni watabiri.
Ni ngumu sana ndio maana hata kwenye ratiba ya ziara busokelo haikuwemo .ilikuwa raisi magufuli asifike Busokelo lakini ghafla tunaambiwa anaenda busokelo ina maana kuna watu wamemshauri Raisi afike kama kuna waliomshauri juu ya hilo basi watakuwa wameishamuweka sawa Mark Mwandosya.Mkoani Kagera Mzee Kagasheki alikataa kata kata kuwa miongoni mwa wazee watakaompokea Rais alivyokuja kwenye ziara ya kutoa pole mkoani Kagera baadae baada ya ziara ile kuna vijineno alianza kuwa anaviandika kupitia twitter.
Sasa je najiuliza Prof. Mark Mwandosya atavunja ukimnya na kwenda kumlaki Rais?
Karibuni watabiri.
Nani?? Kagasheki wa Tokomeza? Afilie mbali huko! Yeye aliathilika na awamu ya 4, au alitaka akumbukwe tena? He is a past tense!Mkoani Kagera Mzee Kagasheki alikataa kata kata kuwa miongoni mwa wazee watakaompokea Rais alivyokuja kwenye ziara ya kutoa pole mkoani Kagera baadae baada ya ziara ile kuna vijineno alianza kuwa anaviandika kupitia twitter.
Sasa je najiuliza Prof. Mark Mwandosya atavunja ukimnya na kwenda kumlaki Rais?
Karibuni watabiri.
Umemuona eeh, Kakujibu Kihuni 'Never' ndiyo nini? Ni mwenyewe huyu!nilimstukia mapema sana !