FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,069
- 40,732
Madawa ya kulevya ni nini, kitaalam, na je, pombe inaangukia katika kundi hilo la madawa ya kulevya? If not, why?! Ukizingatia ongezeko la ‘GABA’ mwilini?
Ni kwani sasa kwa mfano, tunazuia ‘Marijuana’ ila tunaruhusu ‘alcohol’? ; tujadili with an open mind bila prior bias based on subjectivity, tuwe objective kabisa with a clean slate of mind.., maana kuna andiko zito sana linakuja, nimeona mi vyema tuandaane kisaikolojia kwanza..Ni madawa ya kulevya maana ukinywa unalewa
Google tafadhali
Tatizo la mjani wengine ile vuta tu ya kwanza wanawehuka na kuwa machizi kimoja tofauti na pombeNi kwani sasa kwa mfano, tunazuia ‘Marijuana’ ila tunaruhusu ‘alcohol’? ; tujadili with an open mind bila prior bias based on subjectivity, tuwe objective kabisa with a clean slate of mind.., maana kuna andiko zito sana linakuja, nimeona mi vyema tuandaane kisaikolojia kwanza..
Kwahiyo kiwango cha ulevi kwenye marijuana ni kikubwa inherently bila kujali kiwango utakachotumia?Tatizo la mjani wengine ile vuta tu ya kwanza wanawehuka na kuwa machizi kimoja tofauti na pombe
Aaa wapi hakuna watu wastaarabu kama sisiTatizo la mjani wengine ile vuta tu ya kwanza wanawehuka na kuwa machizi kimoja tofauti na pombe
Kiwango cha ulevi sikijui ila bangi unaweza kuvuta mara moja na akili zikaruka kuanzia siku hio tofauti na biaKwahiyo kiwango cha ulevi kwenye marijuana ni kikubwa inherently bila kujali kiwango utakachotumia?
Kinacholewesha ni pombe au ni nini?Pombe sio madawa ya kulevya kinachofanya mtu alewe ni ike volume ya alcohol ukiondoa tu hiyo basi inakuwa juice
Kinacholewesha ni alcoholKinacholewesha ni pombe au ni nini?
Madawa ya kulevya ni nini, kitaalam, na je, pombe inaangukia katika kundi hilo la madawa ya kulevya? If not, why?! Ukizingatia ongezeko la ‘GABA’ mwilini?
😀😀..Ukiingia deep kwenye chemistry utagundua
"Alcohol is a solution"
Ndiyo.Madawa ya kulevya ni nini, kitaalam, na je, pombe inaangukia katika kundi hilo la madawa ya kulevya? If not, why?! Ukizingatia ongezeko la ‘GABA’ mwilini?
Chochote kinacholeweshaMadawa ya kulevya ni nini, kitaalam, na je, pombe inaangukia katika kundi hilo la madawa ya kulevya? If not, why?! Ukizingatia ongezeko la ‘GABA’ mwilini?