Daktari: Pombe ni dawa ya kulevya na inatatiza Afya ya Akili

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,116
49,840
Hayo yameelezwa na Dr.Japhet Swali wa Hospital ya Taifa ya Magonjwa ya Akili-Mirembe.

Kwamba pombe Haina tofauti na Madawa ya kulevya kama bangi,coceine,heroine,mirungi nk hivyo kuhatarisha Afya ya Akili kwani inatenda Yale Yale ambayo Madawa ya kulevya hufanya.

---
Kama wewe ni mnywaji wa pombe, sasa kaa mkao wa tahadhari!

Kama hukuwa unajua hili, leo ndio siku yako ya kubaini kuwa kinywaji unachokunywa ni sawa na dawa yoyote ile ya kulevya.

Kwa mujibu wa mtaalamu bingwa wa saikolojia na afya ya akili kutoka Hospitali ya Afya ya Akili Mirembe, Dk Japheth Swai, kinachoifanya pombe iwe sehemu ya kundi hilo ni tabia zake inapotumika katika mwili wa binadamu.

"Pombe inalevya, pombe inafubaza, pombe inakujengea uraibu na pombe inakufanya ufanye kitu kinyume na uhalisia wako, inakupa ujasiri wa uongo, hivi ni vitu vinavyofanywa na dawa za kulevya,’’ anasema na kuongeza:

“Dawa ya kulevya ni dawa yoyote utakayoitumia ikakufanya uwe katika hali ya ulevi au kufanya ubongo wako usifanye kazi kama ilivyo kawaida,” anasema.

Hata hivyo, mtaalamu huyo anasema hatari ya pombe ni kubwa zaidi ukilinganisha na dawa nyingine za kulevya.

Hilo linatokana na kile anachofafanua kuwa pombe ndiyo mlango wa matumizi ya dawa nyingine zote za kulevya.

Chanzo: Mwananchi

My Take
Serikali pigeni marufuku pombe 😂😂
 
Hayo yameelezwa na Dr.Japhet Swali wa Hospital ya Taifa ya Magonjwa ya Akili-Mirembe.

Kwamba pombe Haina tofauti na Madawa ya kulevya kama bangi,coceine,heroine,mirungi nk hivyo kuhatarisha Afya ya Akili kwani inatenda Yale Yale ambayo Madawa ya kulevya hufanya.

View: https://www.instagram.com/p/CyNKQWAN-v9/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

My Take
Serikali pigeni marufuku pombe 😂😂

Pombe,sigara ndo zinazotoa kodi kubwa kwa serikali!Sio rahisi kupigwa marafuku.
 
Huyo Bila Shaka Amesoma Darasa Moja Na Professor Janabi Wa Muhimbili
Hawezi Kusema Tu Namna Hiyo
 
Kumekuwa na mfululizo wa 'tafiti uchwara' nyingi hivi karibuni za kutunyon'gonyesha sisi walevi hili halikubaliki na kwa
pamoja tutasimama imara kupigania unywaji wa pombe na kulineemesha taifa letu kwa mapato.
 
Kumekuwa na mfululizo wa 'tafiti uchwara' nyingi hivi karibuni za kutunyon'gonyesha sisi walevi hili halikubaliki na kwa
pamoja tutasimama imara kupigania unywaji wa pombe na kulineemesha taifa letu kwa mapato.
Mwenyekiti wa chama cha walevi Tanzania (CCWT),tuko nyumba yako huyu anataka niache mlima wa baridi wenye mvuke mvuke🤣🤣🤣
 
Hayo yameelezwa na Dr.Japhet Swali wa Hospital ya Taifa ya Magonjwa ya Akili-Mirembe.

Kwamba pombe Haina tofauti na Madawa ya kulevya kama bangi,coceine,heroine,mirungi nk hivyo kuhatarisha Afya ya Akili kwani inatenda Yale Yale ambayo Madawa ya kulevya hufanya.

---
Kama wewe ni mnywaji wa pombe, sasa kaa mkao wa tahadhari!

Kama hukuwa unajua hili, leo ndio siku yako ya kubaini kuwa kinywaji unachokunywa ni sawa na dawa yoyote ile ya kulevya.

Kwa mujibu wa mtaalamu bingwa wa saikolojia na afya ya akili kutoka Hospitali ya Afya ya Akili Mirembe, Dk Japheth Swai, kinachoifanya pombe iwe sehemu ya kundi hilo ni tabia zake inapotumika katika mwili wa binadamu.

"Pombe inalevya, pombe inafubaza, pombe inakujengea uraibu na pombe inakufanya ufanye kitu kinyume na uhalisia wako, inakupa ujasiri wa uongo, hivi ni vitu vinavyofanywa na dawa za kulevya,’’ anasema na kuongeza:

“Dawa ya kulevya ni dawa yoyote utakayoitumia ikakufanya uwe katika hali ya ulevi au kufanya ubongo wako usifanye kazi kama ilivyo kawaida,” anasema.

Hata hivyo, mtaalamu huyo anasema hatari ya pombe ni kubwa zaidi ukilinganisha na dawa nyingine za kulevya.

Hilo linatokana na kile anachofafanua kuwa pombe ndiyo mlango wa matumizi ya dawa nyingine zote za kulevya.

Chanzo: Mwananchi

My Take
Serikali pigeni marufuk

Hayo yameelezwa na Dr.Japhet Swali wa Hospital ya Taifa ya Magonjwa ya Akili-Mirembe.

Kwamba pombe Haina tofauti na Madawa ya kulevya kama bangi,coceine,heroine,mirungi nk hivyo kuhatarisha Afya ya Akili kwani inatenda Yale Yale ambayo Madawa ya kulevya hufanya.

---
Kama wewe ni mnywaji wa pombe, sasa kaa mkao wa tahadhari!

Kama hukuwa unajua hili, leo ndio siku yako ya kubaini kuwa kinywaji unachokunywa ni sawa na dawa yoyote ile ya kulevya.

Kwa mujibu wa mtaalamu bingwa wa saikolojia na afya ya akili kutoka Hospitali ya Afya ya Akili Mirembe, Dk Japheth Swai, kinachoifanya pombe iwe sehemu ya kundi hilo ni tabia zake inapotumika katika mwili wa binadamu.

"Pombe inalevya, pombe inafubaza, pombe inakujengea uraibu na pombe inakufanya ufanye kitu kinyume na uhalisia wako, inakupa ujasiri wa uongo, hivi ni vitu vinavyofanywa na dawa za kulevya,’’ anasema na kuongeza:

“Dawa ya kulevya ni dawa yoyote utakayoitumia ikakufanya uwe katika hali ya ulevi au kufanya ubongo wako usifanye kazi kama ilivyo kawaida,” anasema.

Hata hivyo, mtaalamu huyo anasema hatari ya pombe ni kubwa zaidi ukilinganisha na dawa nyingine za kulevya.

Hilo linatokana na kile anachofafanua kuwa pombe ndiyo mlango wa matumizi ya dawa nyingine zote za kulevya.

Chanzo: Mwananchi

My Take
Serikali pigeni marufuku pombe 😂😂
weeeeeeeeeeeeeeee!!!!" MASANGA acha iendelee kuwepo"angalia walokole au waislam wenye itakadi kali ambao hawanywi pombe walivochanganyikiwa,pombe inabalance brain man!!!yaani ukae bila kulamba MASANGA NANGAI!!! MOBUTU SESEKO si atafufuka?
 
Back
Top Bottom