kilght
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 635
- 182
Naona tangu jana hakuna hata anayelaani mauaji ya walioitwa majambazi jana si raia wala si media wala si viongozi wa kisiasa na dini.
Polisi hana mamlaka wala reseni ya kutoa uhai wa mtu.
Pia tuseme tu kuwa inaonekana walifanya makusudi kulipiza kisasi na visasi haviishi.
Polisi hana mamlaka wala reseni ya kutoa uhai wa mtu.
Pia tuseme tu kuwa inaonekana walifanya makusudi kulipiza kisasi na visasi haviishi.