Kwani kuna Billionaire yupi aliyewahi kutingisha hii dunia kwa kula kila aina ya bata na vipochi manyoya buku(1, 000/=) zaidi ya Mfalme Suleiman?
Ile kauli ya "yote bila ya kuwa na ucha Mungu ni ubatili mtupu" ilitokea wapi na akiwa na kiwango kipi cha utajiri?