Je, pesa huwavutia Wanawake?

Je, pesa huwavutia Wanawake?

Pesa inavutia aina zote za wanawake anzia hao wa hovyo mpaka

wanaojitambua,bado hayupo mwanamke ambae havutiwi na pesa.

Yani pesa acha kabisa,hii kitu can buy anything at any time even a temporary happiness.
 
😁😁😁
kAAIOl8.jpeg
 
“Money can’t buy happiness” huu msemo unatakiwa usemwe na Milioneas kwa wale ambao sio milionea wanajidanganya
Kwani kuna Billionaire yupi aliyewahi kutingisha hii dunia kwa kula kila aina ya bata na vipochi manyoya buku(1, 000/=) zaidi ya Mfalme Suleiman?

Ile kauli ya "yote bila ya kuwa na ucha Mungu ni ubatili mtupu" ilitokea wapi na akiwa na kiwango kipi cha utajiri?
 
Mkuu binafsi niliwahi kuachwa na mwanamke niliyemuamini tuliyedumu naye kwa miaka zaidi ya 10 kisa pesa.

Cha kushangaza huko alikoenda kaishia kuzalishwa na kuacha akarudi analia lia

Nikiri kuna baadhi ya wanaume tunaweza kupenda mwanamke unconditionally, unamlea hata kama hana kitu unamthamini lakini usitegemee upendwe kama huna pesa.

Kuna kipindi nilikuwa na mawazo kama yako lakini saivi nimekuja kuamini huwezi kupendwa kama huna pesa, na ndo jinsi ilivyo.
Una pesa kuliko matajiri wa hivi sasa Jeff Bezzos na Bill Gates ambao wameachwa na wake zao ilihali bado wanaendelea kutikisa dunia ktk msimamo wa matajiri watano bora duniani?

Si unaona hatimaye hata huyo Mke wako alirudi baadaye na kulia lia kwako akimaanisha mbali na kukosa kwako pesa kuna baadhi ya vitu alikuwa anavikosa kwa Tajiri aliyemkimbilia na kukukumbuka wewe?
 
Mkuu binafsi niliwahi kuachwa na mwanamke niliyemuamini tuliyedumu naye kwa miaka zaidi ya 10 kisa pesa.

Cha kushangaza huko alikoenda kaishia kuzalishwa na kuacha akarudi analia lia

Nikiri kuna baadhi ya wanaume tunaweza kupenda mwanamke unconditionally, unamlea hata kama hana kitu unamthamini lakini usitegemee upendwe kama huna pesa.

Kuna kipindi nilikuwa na mawazo kama yako lakini saivi nimekuja kuamini huwezi kupendwa kama huna pesa, na ndo jinsi ilivyo.
Soka La Juu Sana.
 

Ndio Inawavutia wanawake, lakini kwa kawaida ni aina mbaya ya wanawake, wale ambao kimsingi wanapendezwa na pesa (Slay Queens). Wanaume wengi wenye akili, wacheshi, watanashati na wenye haiba nzuri wana mengi zaidi ya kutoa kuliko pesa tu......
screenshot_20220818-211411_1-jpg.2328551


Pesa iwepo Tu kama kilainishi mfano Sabuni au KY Kuongeza Utelezi Kwenye Mapenzi.

Pesa Ikikosekana Iwe Ni Swala La Muda mfupi Tu, Sio Muda Wote Pesa Hakuna.

Mapenzi Bila Pesa Yanasumbua Sana.
Kama tayari unapendwa inanogesha mapenzi
 
Una pesa kuliko matajiri wa hivi sasa Jeff Bezzos na Bill Gates ambao wameachwa na wake zao ilihali bado wanaendelea kutikisa dunia ktk msimamo wa matajiri watano bora duniani?

Si unaona hatimaye hata huyo Mke wako alirudi baadaye na kulia lia kwako akimaanisha mbali na kukosa kwako pesa kuna baadhi ya vitu alikuwa anavikosa kwa Tajiri aliyemkimbilia na kukukumbuka wewe?
Mkuu siku moja fanya utafiti, tafuta mwanamke ile mnaenda kukutana nenda kihasara bila gari, alafu mpeleke geto lililochoka choka uangalie muitikio wake.
 
Mkuu binafsi niliwahi kuachwa na mwanamke niliyemuamini tuliyedumu naye kwa miaka zaidi ya 10 kisa pesa.

Cha kushangaza huko alikoenda kaishia kuzalishwa na kuacha akarudi analia lia

Nikiri kuna baadhi ya wanaume tunaweza kupenda mwanamke unconditionally, unamlea hata kama hana kitu unamthamini lakini usitegemee upendwe kama huna pesa.

Kuna kipindi nilikuwa na mawazo kama yako lakini saivi nimekuja kuamini huwezi kupendwa kama huna pesa, na ndo jinsi ilivyo.
mhh
 
Mkuu binafsi niliwahi kuachwa na mwanamke niliyemuamini tuliyedumu naye kwa miaka zaidi ya 10 kisa pesa.

Cha kushangaza huko alikoenda kaishia kuzalishwa na kuacha akarudi analia lia

Nikiri kuna baadhi ya wanaume tunaweza kupenda mwanamke unconditionally, unamlea hata kama hana kitu unamthamini lakini usitegemee upendwe kama huna pesa.

Kuna kipindi nilikuwa na mawazo kama yako lakini saivi nimekuja kuamini huwezi kupendwa kama huna pesa, na ndo jinsi ilivyo.
Mkuu wanawalea wa sasa wanataka pesa, cheo, muonekano na umaarufu
 
Hapa kuna ka ukweli asilimia kubwa ya vijana wenye cent ukiwachunguza wanawake zao utagundua wengi ni.

Wahudumu wa bar , wahudumu wa hotel, Malaya wa kwenye mabar, wadangaji wa kwenye mabar, wadangaji wa mtaani yaani lazima atakuwa anacheza kwenye izi angle..
 
Mkuu binafsi niliwahi kuachwa na mwanamke niliyemuamini tuliyedumu naye kwa miaka zaidi ya 10 kisa pesa.

Cha kushangaza huko alikoenda kaishia kuzalishwa na kuacha akarudi analia lia

Nikiri kuna baadhi ya wanaume tunaweza kupenda mwanamke unconditionally, unamlea hata kama hana kitu unamthamini lakini usitegemee upendwe kama huna pesa.

Kuna kipindi nilikuwa na mawazo kama yako lakini saivi nimekuja kuamini huwezi kupendwa kama huna pesa, na ndo jinsi ilivyo.
Ukweli mtupu. Mwanamka anakuona kama kinyago tuu kama huna hela.
 
Back
Top Bottom