Je, pesa huwavutia Wanawake?

Je, pesa huwavutia Wanawake?

Pesa inavutia aina zote za wanawake anzia hao wa hovyo mpaka

wanaojitambua,bado hayupo mwanamke ambae havutiwi na pesa.

Yani pesa acha kabisa,hii kitu can buy anything at any time even a temporary happiness.
👏👏👏👏👏🔥👏👏👏
 
Kwani kuna Billionaire yupi aliyewahi kutingisha hii dunia kwa kula kila aina ya bata na vipochi manyoya buku(1, 000/=) zaidi ya Mfalme Suleiman?

Ile kauli ya "yote bila ya kuwa na ucha Mungu ni ubatili mtupu" ilitokea wapi na akiwa na kiwango kipi cha utajiri?
👏👏👏👏👏👏
 
Back
Top Bottom