Je, pesa huwavutia Wanawake?

Je, pesa huwavutia Wanawake?

Lee Swagger

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
1,070
Reaction score
1,816
pexels-media-259027-1660851744034.jpeg

Ndio Inawavutia wanawake, lakini kwa kawaida ni aina mbaya ya wanawake, wale ambao kimsingi wanapendezwa na pesa (Slay Queens). Wanaume wengi wenye akili, wacheshi, watanashati na wenye haiba nzuri wana mengi zaidi ya kutoa kuliko pesa tu......
screenshot_20220818-211411_1-jpg.2328551


Pesa iwepo Tu kama kilainishi mfano Sabuni au KY Kuongeza Utelezi Kwenye Mapenzi.

Pesa Ikikosekana Iwe Ni Swala La Muda mfupi Tu, Sio Muda Wote Pesa Hakuna.

Mapenzi Bila Pesa Yanasumbua Sana....
 

Attachments

  • Screenshot_20220818-211411_1.jpg
    Screenshot_20220818-211411_1.jpg
    87 KB · Views: 67
Unawezaje kuwa a high value person without having money? Pesa inanunua kila kitu, "ooh but money can't buy you happiness" hizo ni kauli utazisikia kwa masikini tu. Pesa inakupa vyote, malaya & a woman with good blueprint.
“Money can’t buy happiness” huu msemo unatakiwa usemwe na Milioneas kwa wale ambao sio milionea wanajidanganya
 
Unawezaje kuwa a high value person without having money? Pesa inanunua kila kitu, "ooh but money can't buy you happiness" hizo ni kauli utazisikia kwa masikini tu. Pesa inakupa vyote, malaya & a woman with good blueprint.
Tutafute Pesa.
 
View attachment 2327815
Ndio Inawavutia wanawake, lakini kwa kawaida ni aina mbaya ya wanawake, wale ambao kimsingi wanapendezwa na pesa (Slay Queens). Wanaume wengi wenye akili, wacheshi, watanashati na wenye haiba nzuri wana mengi zaidi ya kutoa kuliko pesa tu......
Shetani alitumia shilingi ngapi pale Bustanini Eden kummega kimasihara Eva?
 
Pesa iwepo Tu kama Sabuni Kuongeza Utelezi Kwenye Mahusiano. Isikosekane Kabisa.
Mkuu binafsi niliwahi kuachwa na mwanamke niliyemuamini tuliyedumu naye kwa miaka zaidi ya 10 kisa pesa.

Cha kushangaza huko alikoenda kaishia kuzalishwa na kuacha akarudi analia lia

Nikiri kuna baadhi ya wanaume tunaweza kupenda mwanamke unconditionally, unamlea hata kama hana kitu unamthamini lakini usitegemee upendwe kama huna pesa.

Kuna kipindi nilikuwa na mawazo kama yako lakini saivi nimekuja kuamini huwezi kupendwa kama huna pesa, na ndo jinsi ilivyo.
 
Mkuu binafsi niliwahi kuachwa na mwanamke niliyemuamini tuliyedumu naye kwa miaka zaidi ya 10 kisa pesa.

Cha kushangaza huko alikoenda kaishia kuzalishwa na kuacha akarudi analia lia

Nikiri kuna baadhi ya wanaume tunaweza kupenda mwanamke unconditionally, unamlea hata kama hana kitu unamthamini lakini usitegemee upendwe kama huna pesa.

Kuna kipindi nilikuwa na mawazo kama yako lakini saivi nimekuja kuamini huwezi kupendwa kama huna pesa, na ndo jinsi ilivyo.
true story
 
Unawezaje kuwa a high value person without having money? Pesa inanunua kila kitu, "ooh but money can't buy you happiness" hizo ni kauli utazisikia kwa masikini tu. Pesa inakupa vyote, malaya & a woman with good blueprint.
Fact bila pesa huenda hata mwanamke mucha Mungu usipate
 
Back
Top Bottom