KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Yule alie vunja vunja shamba la Mbowe ni nani Sabaya?Amehamishiwa Kilosa , ni Msukuma kwa kabila , jina lake Mpina
Hawa watu huu haukuwa ulevi wa madaraka tu, bila shaka ni ugonjwa kichwani ndio uliowatuma kufanya mambo ya ajabu ajabu kiasi kile.