Je, Ole Sabaya kushitakiwa?

Kwakweli ni wakati Sasa wa watanzania kuonyesha kuwa kiongozi anaweza kushtakiwa na kufungwa. Wenye ushahidi nendeni mahakamani tumpeleke mtu selo
 


1. Mitandao mechafuka,
Watu wanalalamika,
Machozi yanawatoka,
Sabaya wamemchoka,

2. Kila mtu ni Sabaya,
Wamsema kwa mabaya,
Sabaya kawa Sabaya,
Sabaya wamemchoka.

3. Mara wale kawaonea,
Hawa nao katufanyia,
Huyu nae namchukia,
Sabaya wamemchoka.

4. Sabaya hakamatiki,
Sabaya haonyeki,
Sabaya Hashauriki,
Sabaya wamemchoka.

5. Nilimsikia Mgwira,
Akimwonya kwa busara,
Sabaya akafura,
Sabaya wamemchoka.

6. Hivi kwanini Sabaya,
Kila mtu Sabaya,
Sabaya huoni haya?
Jina lako tumechoka.

7. Mitandao inasema,
Wewe mwingi wa dhuluma,
Unapokonya ndarama,
Jina lako tumechoka.

8. Cheo chako watumia,
Watu wako kubutua,
Watu unawaonea,
Jina lako tumechoka.

9. Nchi yetu ya amani,
Wainajisi kwanini?
Kwani wewe una nini?
Jina lako tumechoka.

10. Umekuwa mungu mtu,
Wajiona kila kitu,
Roho mbaya ina kutu,
Jina lako tumechoka.
Babuuuuuh huyoooh

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Kwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma.

Je atakamatwa lini?
Kwa makosa yapi mbona hamuyasemi,au sababu ya kuukosa ubunge mwenyekiti wenu, mumekuwa na chuki sana na Sabaya,Chalamila na Hapi kisa ni vigogo wenu kuukosa ubunge kwa aibu, mnayemshangilia kwa kufanya maamuzi ya kuwaondoa hao hafanyi hivyo kwa ajili yenu ,yeye anayake ,msibweteke sana kuwa sasa ndio mnasikilizwa.
 
Kwa makosa yapi mbona hamuyasemi,au sababu ya kuukosa ubunge mwenyekiti wenu, mumekuwa na chuki sana na Sabaya,Chalamila na Hapi kisa ni vigogo wenu kuukosa ubunge kwa aibu, mnayemshangilia kwa kufanya maamuzi ya kuwaondoa hao hafanyi hivyo kwa ajili yenu ,yeye anayake ,msibweteke sana kuwa sasa ndio mnasikilizwa.
Mbona kama unaumia sana, au ulikuwa chawa wake?
 
Kwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma.

Je atakamatwa lini?
Mungu wetu atamshitaki na kumhukumu
Tusimtegemee mwanadamu
Wanafanya uchunguzi eti (stori hakuna kitu hapo)
Tuzidi kumuita Mungu
Mungu atupe majibu juu ya watesi wote wanyang'anyi wauwaji walawiti wababe
Kuna Bia Swalo JeuriMuroo AliHapy yule mwingine ChalaMia hawa viumbe hapana kwa kweli
 
Kwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma.

Je atakamatwa lini?
Idumu JF
 
Kwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma.

Je atakamatwa lini?
Hatimaye imekuwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom