Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,644
- 218,096
- Thread starter
- #61
😆😆😆 Unaambiwa Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi hapa duniani si nyingi sana
😆😆😆 Unaambiwa Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi hapa duniani si nyingi sana
Afu huyu sabaya ni kiburi na jeuri sanaDuuu!!
Babuuuuuh huyoooh
1. Mitandao mechafuka,
Watu wanalalamika,
Machozi yanawatoka,
Sabaya wamemchoka,
2. Kila mtu ni Sabaya,
Wamsema kwa mabaya,
Sabaya kawa Sabaya,
Sabaya wamemchoka.
3. Mara wale kawaonea,
Hawa nao katufanyia,
Huyu nae namchukia,
Sabaya wamemchoka.
4. Sabaya hakamatiki,
Sabaya haonyeki,
Sabaya Hashauriki,
Sabaya wamemchoka.
5. Nilimsikia Mgwira,
Akimwonya kwa busara,
Sabaya akafura,
Sabaya wamemchoka.
6. Hivi kwanini Sabaya,
Kila mtu Sabaya,
Sabaya huoni haya?
Jina lako tumechoka.
7. Mitandao inasema,
Wewe mwingi wa dhuluma,
Unapokonya ndarama,
Jina lako tumechoka.
8. Cheo chako watumia,
Watu wako kubutua,
Watu unawaonea,
Jina lako tumechoka.
9. Nchi yetu ya amani,
Wainajisi kwanini?
Kwani wewe una nini?
Jina lako tumechoka.
10. Umekuwa mungu mtu,
Wajiona kila kitu,
Roho mbaya ina kutu,
Jina lako tumechoka.
Kwa makosa yapi mbona hamuyasemi,au sababu ya kuukosa ubunge mwenyekiti wenu, mumekuwa na chuki sana na Sabaya,Chalamila na Hapi kisa ni vigogo wenu kuukosa ubunge kwa aibu, mnayemshangilia kwa kufanya maamuzi ya kuwaondoa hao hafanyi hivyo kwa ajili yenu ,yeye anayake ,msibweteke sana kuwa sasa ndio mnasikilizwa.Kwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma.
Je atakamatwa lini?
Mbona kama unaumia sana, au ulikuwa chawa wake?Kwa makosa yapi mbona hamuyasemi,au sababu ya kuukosa ubunge mwenyekiti wenu, mumekuwa na chuki sana na Sabaya,Chalamila na Hapi kisa ni vigogo wenu kuukosa ubunge kwa aibu, mnayemshangilia kwa kufanya maamuzi ya kuwaondoa hao hafanyi hivyo kwa ajili yenu ,yeye anayake ,msibweteke sana kuwa sasa ndio mnasikilizwa.
Mungu wetu atamshitaki na kumhukumuKwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma.
Je atakamatwa lini?
Mkuu umesahau Yona na Mramba?
Taarifa zinaonyesha kwamba huyu jamaa hatoki !
Inategemea kama una sponsor, Katiba haina tatizo na kuwafungwa viongozi wapuuzi kama SabayaKatiba ya nchi hii viongozi kufungwa ni ngumu sana,labda atapewa fagio la kufanya usafi Mt Meru Hospital
Idumu JFKwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma.
Je atakamatwa lini?
Wacha weeeMmh ni ngumu kiongozi kufungwa
Labda
Mkuu Erythro, pongezi kwa maono.Idumu JF
Hatimaye imekuwaKwa vile kuna ushahidi wa kutosha wa uhalifu uliofanywa na DC duni wa zamani wa Hai aliyefahamika kwa jina la Ole Sabaya akishirikiana na OCD wa eneo hilo , sasa ni dhahiri atafunguliwa mashitaka ya Kutumia madaraka yake vibaya kwa kushiriki kupora pesa za raia kwa vitisho na kwa kutumia silaha za umma.
Je atakamatwa lini?
Wacha weee
Amehamishiwa Kilosa , ni Msukuma kwa kabila , jina lake MpinaMkuu Erythro, pongezi kwa maono.
Huyo "OCD wa eneo hilo" kidogo kumbukumbu zangu zimeachia, unamkumbuka?