johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,150
Mwalimu Nyerere alikuwa ndio mwanaccm wa kwanza kutujuza "ukuu" wa katiba yetu na kwamba inaweza kuwa rafiki au kinyume chake kulingana na matakwa ya kiongozi aliyopo madarakani kwa wakati husika.
Najiuliza kwanini hakufanya mchakato wa ama kuirekebisha au kutupatia katiba mpya?
Ni hilo tu!
Najiuliza kwanini hakufanya mchakato wa ama kuirekebisha au kutupatia katiba mpya?
Ni hilo tu!