Je, Nyerere alishindwa kutupatia katiba mpya kabla hajang'atuka?

Nyerere kwa hili simuelewi kabsaa. Alitaka CCM wasilale, wasibweteke LAKINI hakutaka CCM itoke madarakani, hivyo alihakikisha anatuachia hili likatiba la hovyo kabisa akijua kwamba linaweza wa kuzalisha madikiteta (hili alisema yeye mwenyewe) na mambo mengine ya hovyo kama mshindi wa uraisi akisha tangazwa basi hata mahakama haiwezi kulijadili hilo.
Na awamu hii ndiyo tunayaona mengi yanatimia-fikiria kule KOROGWE vyama vya upinzani tunaambiwa na TUME YA UCHAGUZI kwa masaa yasiyopungua matano vilishindwa kujua formu za wagombea wao zilrudishwa kwa nani na ofisi gani. KINONDONI mawakala wa Upinzani mpaka jioni ya mkesha wa uchaguzi hawana vitambulisho lakini wa CCM wanavyo.
Kiama cha wapinzani (sijui kama ni wao peke yao) ni 2019 na 2020-na sheria mpya ya Vyama vya Siasa ndiyo inatuletea USTARABU aina hiyo hiyo.
Mkuu Masiya kwani huu upinzani ni halisi?!?......mimi nauona kama wa bandia vile!
 
Sababu alitaka ccm itawale maisha

Hujiulizi uchaguzi wa 1995 kwenye kampeni alisema nini?

"Siwezi kuacha nchi yangu kuangukia mikononi mwa mbwa.

Hata ukiangalia venezuela maduro kamuachia predecessor wake maduro na hakutaka wapinzani wapewe angalia Urusi ,China ambao ni role models wa mwl wanaachiana party kwa party au wenyewe kwa wenyewe

sasa katiba angebadilisha si angewapa nafasi wapinzani "mbwa" kuchukua nchi.

Tundu Lissu aliwahi kuongea mapungufu ya Huyu mzee watu walipiga kelele kuna watu wanahamini bila Nyerere mpaka leo tungekua tunatawaliwa na wakoloni weupe Mpaka leo Mandela nikiongozi bora kulinganisha na Nyerere
 
Mwalimu Nyerere alikuwa ndio mwanaccm wa kwanza kutujuza "ukuu" wa katiba yetu na kwamba inaweza kuwa rafiki au kinyume chake kulingana na matakwa ya kiongozi aliyopo madarakani kwa wakati husika.
Najiuliza kwanini hakufanya mchakato wa ama kuirekebisha au kutupatia katiba mpya?
Ni hilo tu!
huyu mzee alikua anajifanya anatupenda wkt alikua mnafiki tu.....

kama alikua na upendo na watanzania kweli basi alitakiwa kutupatia katiba ili ilinde yale mazuri aliyoanzisha!
 
Sababu alitaka ccm itawale maisha

Hujiulizi uchaguzi wa 1995 kwenye kampeni alisema nini?

"Siwezi kuacha nchi yangu kuangukia mikononi mwa mbwa.

Hata ukiangalia venezuela maduro kamuachia predecessor wake maduro na hakutaka wapinzani wapewe angalia Urusi ,China ambao ni role models wa mwl wanaachiana party kwa party au wenyewe kwa wenyewe

sasa katiba angebadilisha si angewapa nafasi wapinzani "mbwa" kuchukua nchi.
mzee sijawah kumkubali, yan ukiwa msomaji wa vitabu huwezi mheshimu huyu baba..........
 
huyu mzee alikua anajifanya anatupenda wkt alikua mnafiki tu.....

kama alikua na upendo na watanzania kweli basi alitakiwa kutupatia katiba ili ilinde yale mazuri aliyoanzisha!
Lakini Kikwete alianzisha mchakato akina Mbowe wakauvuruga!
 
Katiba ni ya kudai kwa nguvu zote maana iliyopo inawasaidia waliopo kuendelea kutawala wanavyotaka so ni lazima idaiwe kwa nguvu bila hivyo tataendelea kupata tabu sana chini ya huu utawala ambao kabisa unatukandamiza kwa nguvu zote kila mahali
 
Alikuwa mtaalam wa kucheza na akili za watu Ila alikuwa msanii na yeye kama hawa wa leo
Nyerere kwa hili simuelewi kabsaa. Alitaka CCM wasilale, wasibweteke LAKINI hakutaka CCM itoke madarakani, hivyo alihakikisha anatuachia hili likatiba la hovyo kabisa akijua kwamba linaweza wa kuzalisha madikiteta (hili alisema yeye mwenyewe) na mambo mengine ya hovyo kama mshindi wa uraisi akisha tangazwa basi hata mahakama haiwezi kulijadili hilo.
Na awamu hii ndiyo tunayaona mengi yanatimia-fikiria kule KOROGWE vyama vya upinzani tunaambiwa na TUME YA UCHAGUZI kwa masaa yasiyopungua matano vilishindwa kujua formu za wagombea wao zilrudishwa kwa nani na ofisi gani. KINONDONI mawakala wa Upinzani mpaka jioni ya mkesha wa uchaguzi hawana vitambulisho lakini wa CCM wanavyo.
Kiama cha wapinzani (sijui kama ni wao peke yao) ni 2019 na 2020-na sheria mpya ya Vyama vya Siasa ndiyo inatuletea USTARABU aina hiyo hiyo.
 
Katiba ni ya kudai kwa nguvu zote maana iliyopo inawasaidia waliopo kuendelea kutawala wanavyotaka so ni lazima idaiwe kwa nguvu bila hivyo tataendelea kupata tabu sana chini ya huu utawala ambao kabisa unatukandamiza kwa nguvu zote kila mahali
So tunaanzia wapi kuidai?
 
Back
Top Bottom