johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
- Thread starter
- #21
Alituambia kuwa katiba yetu inahitaji kiongozi mpole!Toa ufafanuzi eti kamfumbuaje macho?
Alituambia kuwa katiba yetu inahitaji kiongozi mpole!Toa ufafanuzi eti kamfumbuaje macho?
Mkuu Masiya kwani huu upinzani ni halisi?!?......mimi nauona kama wa bandia vile!Nyerere kwa hili simuelewi kabsaa. Alitaka CCM wasilale, wasibweteke LAKINI hakutaka CCM itoke madarakani, hivyo alihakikisha anatuachia hili likatiba la hovyo kabisa akijua kwamba linaweza wa kuzalisha madikiteta (hili alisema yeye mwenyewe) na mambo mengine ya hovyo kama mshindi wa uraisi akisha tangazwa basi hata mahakama haiwezi kulijadili hilo.
Na awamu hii ndiyo tunayaona mengi yanatimia-fikiria kule KOROGWE vyama vya upinzani tunaambiwa na TUME YA UCHAGUZI kwa masaa yasiyopungua matano vilishindwa kujua formu za wagombea wao zilrudishwa kwa nani na ofisi gani. KINONDONI mawakala wa Upinzani mpaka jioni ya mkesha wa uchaguzi hawana vitambulisho lakini wa CCM wanavyo.
Kiama cha wapinzani (sijui kama ni wao peke yao) ni 2019 na 2020-na sheria mpya ya Vyama vya Siasa ndiyo inatuletea USTARABU aina hiyo hiyo.
Sababu alitaka ccm itawale maisha
Hujiulizi uchaguzi wa 1995 kwenye kampeni alisema nini?
"Siwezi kuacha nchi yangu kuangukia mikononi mwa mbwa.
Hata ukiangalia venezuela maduro kamuachia predecessor wake maduro na hakutaka wapinzani wapewe angalia Urusi ,China ambao ni role models wa mwl wanaachiana party kwa party au wenyewe kwa wenyewe
sasa katiba angebadilisha si angewapa nafasi wapinzani "mbwa" kuchukua nchi.
huyu mzee alikua anajifanya anatupenda wkt alikua mnafiki tu.....Mwalimu Nyerere alikuwa ndio mwanaccm wa kwanza kutujuza "ukuu" wa katiba yetu na kwamba inaweza kuwa rafiki au kinyume chake kulingana na matakwa ya kiongozi aliyopo madarakani kwa wakati husika.
Najiuliza kwanini hakufanya mchakato wa ama kuirekebisha au kutupatia katiba mpya?
Ni hilo tu!
mzee sijawah kumkubali, yan ukiwa msomaji wa vitabu huwezi mheshimu huyu baba..........Sababu alitaka ccm itawale maisha
Hujiulizi uchaguzi wa 1995 kwenye kampeni alisema nini?
"Siwezi kuacha nchi yangu kuangukia mikononi mwa mbwa.
Hata ukiangalia venezuela maduro kamuachia predecessor wake maduro na hakutaka wapinzani wapewe angalia Urusi ,China ambao ni role models wa mwl wanaachiana party kwa party au wenyewe kwa wenyewe
sasa katiba angebadilisha si angewapa nafasi wapinzani "mbwa" kuchukua nchi.
alitufumbua macho kulinda ego yake........Angekuwa mbinafsi asingetufumbua macho!
Lakini Kikwete alianzisha mchakato akina Mbowe wakauvuruga!huyu mzee alikua anajifanya anatupenda wkt alikua mnafiki tu.....
kama alikua na upendo na watanzania kweli basi alitakiwa kutupatia katiba ili ilinde yale mazuri aliyoanzisha!
Ndo maana mimi naonaga aibu kufananisha na Mandelamzee sijawah kumkubali, yan ukiwa msomaji wa vitabu huwezi mheshimu huyu baba..........
Kwahiyo wewe unawaheshimu akina Willy Gamba wa vitabuni!mzee sijawah kumkubali, yan ukiwa msomaji wa vitabu huwezi mheshimu huyu baba..........
Kweli Nyerere ni zaidi ya Mandela japokuwa NIA zao zilifanana!Ndo maana mimi naonaga aibu kufananisha na Mandela
Mkuu Masiya kwani huu upinzani ni halisi?!?......mimi nauona kama wa bandia vile!
Mkuu msimamo wako uko wazi, tuyaache kama yalivyo.Lakini Kikwete alianzisha mchakato akina Mbowe wakauvuruga!
Nyerere kwa hili simuelewi kabsaa. Alitaka CCM wasilale, wasibweteke LAKINI hakutaka CCM itoke madarakani, hivyo alihakikisha anatuachia hili likatiba la hovyo kabisa akijua kwamba linaweza wa kuzalisha madikiteta (hili alisema yeye mwenyewe) na mambo mengine ya hovyo kama mshindi wa uraisi akisha tangazwa basi hata mahakama haiwezi kulijadili hilo.
Na awamu hii ndiyo tunayaona mengi yanatimia-fikiria kule KOROGWE vyama vya upinzani tunaambiwa na TUME YA UCHAGUZI kwa masaa yasiyopungua matano vilishindwa kujua formu za wagombea wao zilrudishwa kwa nani na ofisi gani. KINONDONI mawakala wa Upinzani mpaka jioni ya mkesha wa uchaguzi hawana vitambulisho lakini wa CCM wanavyo.
Kiama cha wapinzani (sijui kama ni wao peke yao) ni 2019 na 2020-na sheria mpya ya Vyama vya Siasa ndiyo inatuletea USTARABU aina hiyo hiyo.
Alituambia kuwa katiba yetu inahitaji kiongozi mpole!
Kupitia boksi la kura!Anapatikanaje?
So tunaanzia wapi kuidai?Katiba ni ya kudai kwa nguvu zote maana iliyopo inawasaidia waliopo kuendelea kutawala wanavyotaka so ni lazima idaiwe kwa nguvu bila hivyo tataendelea kupata tabu sana chini ya huu utawala ambao kabisa unatukandamiza kwa nguvu zote kila mahali