JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,938
mkuu kama vile umetoka nje ya hoja.Tuoneshe picha Nyerere akiwa na Tunduu Lisuu
mkuu kama vile umetoka nje ya hoja.Tuoneshe picha Nyerere akiwa na Tunduu Lisuu
Usihofu mkuu...bado ni mlemle...maana nyie hamuishiwi vihojamkuu kama vile umetoka nje ya hoja.
He!nyerere amefariki 91 kweli vioja wakati uchaguzi Wa 95 Alimpigia kampeni mkapaJPM alianza siasa 1995 wakati huo Nyerere alikuwa tayari keshang'atuka miaka mine baadae (1991) akaitwa mbele za haki sasa ni saa ngapi angepiga picha na huyo mbunge wa Biharamulo/Chato wakati huo?!
Kabisa. Kwamba Mungu hawezi kukupatia vyote...mfano Lowassa kukkosa urais licha ya kuwekeza mabilioni, funzo la pili ni kwamba Mungu humuinua mwenye haki, mfano MagufuliThere is something to learn here
out of pointTuoneshe picha Nyerere akiwa na Tunduu Lisuu
we unapenda penda tuuNIMEPENDA YA JK MTANASHATI
mmmh!! mwenye haki.Kabisa. Kwamba Mungu hawezi kukupatia vyote...mfano Lowassa kukkosa urais licha ya kuwekeza mabilioni, funzo la pili ni kwamba Mungu humuinua mwenye haki, mfano Magufuli
Nafikiri kwa utaratibu wa miaka ya utawala wa Nyerere, ambao yeye akiwa ndio mkuu wa UD, na akihudhuria sherehe zote za mahafali na kuwatunuku vyeti, wahitimu ye mwenyewe, basi huenda makutano baina yao, yalipata tokeaNaomba mwenye angalau kumbukumbu ya picha kama walishawahi kukutana kama hawa wenzie
View attachment 471384
Angekuwa hai leo Mwalimu Nyerere angekuwa na miaka 95, alizaliwa 1922.Naomba mwenye angalau kumbukumbu ya picha kama walishawahi kukutana kama hawa wenzie
View attachment 471384
Bingwa wa rivasiJPM alianza siasa 1995 wakati huo Nyerere alikuwa tayari keshang'atuka miaka mine baadae (1991) akaitwa mbele za haki sasa ni saa ngapi angepiga picha na huyo mbunge wa Biharamulo/Chato wakati huo?!