screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Bangi nibangueJPM alianza siasa 1995 wakati huo Nyerere alikuwa tayari keshang'atuka miaka mine baadae (1991) akaitwa mbele za haki sasa ni saa ngapi angepiga picha na huyo mbunge wa Biharamulo/Chato wakati huo?!