Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Habarini wadau
Nimekuwa nikifuatilia sana Historia ya Zanzibar siku za karibuni
Kuna sehemu nilisoma kuwa anae enziwa kuwa ni baba wa mapinduzi Sheikh Aman Karume hakuwa anahusika kwa kiasi kikubwa na mapinduzi hayo na siku ya Mapinduzi alikuwa bara
aliyepanga na kutekeleza mapinduzi yake alikuwa ni John Okello, mwenye asili ya Uganda na baafa ya mapinduzi kufanyika alimuita Karume kutoka bara na kumfanya kuwa Rais huku yeye akijipa cheo cha Field Marshal
Lakini leo nimekuja kusoma mahali tena wanasema Karume na Nyerere ndio waliohusika na mapinduzi yale nyuma ya pazia, na kuwa huyu Okello walimtumia tu na baadae wakamtema kisha wakaunda Muungano
Sasa nashindwa niamini lipi japo hilo la pili ndio lina make sense kidogo
Wana Historia naomba msaada
CC Mohamed Said Pascal Mayalla Yericko Nyerere barafu Nguruvi3 Mag3
Nimekuwa nikifuatilia sana Historia ya Zanzibar siku za karibuni
Kuna sehemu nilisoma kuwa anae enziwa kuwa ni baba wa mapinduzi Sheikh Aman Karume hakuwa anahusika kwa kiasi kikubwa na mapinduzi hayo na siku ya Mapinduzi alikuwa bara
aliyepanga na kutekeleza mapinduzi yake alikuwa ni John Okello, mwenye asili ya Uganda na baafa ya mapinduzi kufanyika alimuita Karume kutoka bara na kumfanya kuwa Rais huku yeye akijipa cheo cha Field Marshal
Lakini leo nimekuja kusoma mahali tena wanasema Karume na Nyerere ndio waliohusika na mapinduzi yale nyuma ya pazia, na kuwa huyu Okello walimtumia tu na baadae wakamtema kisha wakaunda Muungano
Sasa nashindwa niamini lipi japo hilo la pili ndio lina make sense kidogo
Wana Historia naomba msaada
CC Mohamed Said Pascal Mayalla Yericko Nyerere barafu Nguruvi3 Mag3