Je noti mpya zitakazotengenezwa kufuta 000?

bizplan

JF-Expert Member
Jun 28, 2013
575
547
Nimesikia kuwa serikali ina mpango wa kutengeneza noti mpya.

Nakumbuka pia kuna mjadala ushawahi kutokea kuhusu nchi zilizowahi kutengeneza pesa mpya ambazo zilikuwa na thamani zaidi kuliko zile za mwanzo. Mfano ni Zambia katika kwacha yao na Ghana katika Cedi yao.

Je Tanzania nayo ina mpango huo? Yaani elfu moja mpya kuwa sawa na elfu kumi ya sasa?

Yaani kitendo hichi kitafanya Sh ya kenya kuwa centi kadhaa, na Uganda pesa itakuwa ndogo kuliko kawaida?

Je itamaanisha pesa ya Tanzania kuwa kubwa kulizo za nchi nyingine za afrika mashariki?

Je hili lina faida zozote au itakuwa ni sifa tu?

Kwa kuwa kuna mtazamo wa kuifanya Tanzania super power je hili litafanyika?

Lets wait and see!
 
kutengeneza noti mpya hakuifanyi noti hiyo kuwa na thamani zaidi ya ile noti ya zamani.

kama ndivyo naomba uthibitisho
Hiyo ni kweli lakini vipi iwapo itafanyika kama Zambia walivyofanya?
 
Kama wanataka kufanya hivyo wafanye tu.......!

Ningependa kuwauliza wataalamu wa masuala ya sarafu ila wataalamu wote siku hizi wanatumia taaluma zao kuwania UTEUZI
Kweli tuwaulize watujibu
 
How kiongozi?
Firstly, printing money tends to be inflationary. Higher inflation makes a country less competitive leading to relatively lower demand for their exports and hence currency.Secondly, increasing the money supply enables the Central Bank to buy more foreign currency, which drives down the value of the domestic currency.Statement of intent. By promising to print money and keep currency low, it discourages speculators from buying that currency as it is less likely to be a good bet.
 
huwez fanya ivo...uchumi ni sayansi....thaman ya pesa inajuisha na shughuli za kila siku ndani ya jamii...leo hii elfu moja uifanye iwe na thaman ya elfu kumi utaua uchumi haswa...maana hapo unataka kuifanya pesa iwe very scarce...na kushusha thaman ya bidhaa kitu ambacho kitatupeleka kwenye umasikin wa hali ya juu..
 
Back
Top Bottom