asmaa80
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 1,562
- 1,756
Kilichopon ni Kwamba wewe Humpendi tena huyu binti hivyo vyengine unavyoviongea ni visababu tu ili ujipe moyo kuona umefanya maamuzi sahiihi, Kwanza hujali hata kidogo na huyo ndugu yake alokwambia utumie akili alikuwa Sahihi kabsaa, kama ingekuwa unampenda na kumjali ni wewe ndo ungekuja na chakula mkakaa mkala na kuongea na sio kumuingiza mgonjwa jikoni, na bado huoni thamani yake??? Kama wewe unavyohisi maneno ya ndugu yamekutia hasira unadhani na yeye hasemwi na hao ndugu? WANAMPENDA NDO MANA WANAMSEMA YEYE NA WEWE, Na inaonekana una mambo mengi ya kijinga umemfanyia ndio maana ndugu zake hawakupendi.
Ila Ukimuacha huyo binti utarudi tena hapa kama sio kwa kutendwa na mwanamke mwengine basi kwa jambo lolote, ile Nuksi ulosema umetiwa na huyu dada sasa ndo unaibeba rasmi, na pia kama humpendi endelea na maisha yako huna haja ya kumuumiza, yeye atataumia kwa muda atasahau, ni wazi huna mapenzi kwa sasa.
Ila Ukimuacha huyo binti utarudi tena hapa kama sio kwa kutendwa na mwanamke mwengine basi kwa jambo lolote, ile Nuksi ulosema umetiwa na huyu dada sasa ndo unaibeba rasmi, na pia kama humpendi endelea na maisha yako huna haja ya kumuumiza, yeye atataumia kwa muda atasahau, ni wazi huna mapenzi kwa sasa.