amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
Wanaumewachache sanawamebaki unawezaje kula pesa ya mwanamke tena single mama aliyedesperate kuwa na mahusiano huyo mdada anachomiss ni love,attention naile bitterness ya kukataliwa na mimba mtoto inamsumbua pia,mleta mada ana roho ngumu kachukua opportunity hiyo,arudishe miamala ya watu hata kama iwe kwa njia ingine kamazawadi au whateverWa Ajabu huyu, kwanza ana mahusiano tayari , pili inaoneshe Hana hisia na huyo msichana na hana future nae. Ila anachanganyikiwa na visenti anavyopata! Kabaki njia panda!
Simply hajui anachokitaka maishani mwake.