Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
- Thread starter
- #41
pole sana mkuu,kumbuka kila kitu hutokea kwa sababu. hyo hakuwa wako,wako yupo ushapangiwa na Mungu!
Nashukuru sana charminglady na nAamini hivyo maneno yako yana ukweli.asante sana.kila kitu kinapangwa na kinakuja kwa sababu.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums