Je, nikipata madhara katika vurugu nani wa kunisaidia?

scatter

JF-Expert Member
Feb 15, 2013
1,667
925
MNAO AMINI KATIKA UCHOCHEZI IKATOKEA NIKAPATA ULEMAVU WA MIGUU AU MIKONO MTANISAIDIAJE
Kwa hizi vurugu mnazochochea
Kwa hoja kamili nijibuni ili nipate kuelewa maana kila mtu anaongea mengi mpaka tunachanganyana sasa
Maisha lazima yasonge mbele
 
Maisha yakiwa magumu Nani Wa kukusaidia, ukienda hospitali ukaambiwa utibiwi mpaka utoe hela Nani Wa kukusaidia? Mtoto wako kasoma Na hana kazi Nani Wa kumsaidia... Ndugu yako anaitaji mbegu katika kilimo Nani Wa kumsiaidia.. Hakika jibu linakuja Kupanga ni kuchagua uishi vyema au uishi kwa kutoelewa Nani Wa kukusaidia
 
Maisha yakiwa magumu Nani Wa kukusaidia, ukienda hospitali ukaambiwa utibiwi mpaka utoe hela Nani Wa kukusaidia? Mtoto wako kasoma Na hana kazi Nani Wa kumsaidia... Ndugu yako anaitaji mbegu katika kilimo Nani Wa kumsiaidia.. Hakika jibu linakuja Kupanga ni kuchagua uishi vyema au uishi kwa kutoelewa Nani Wa kukusaidia
Kila kitu kina hatua haya tufanye nimesha umizwa sasa je tutakua wote au ndio tutakimbiana
 
Nchi yetu bado changa sana tunaposema maendeleo ya dhati huwezi yapata katika vurugu mfano unaenda kazini unakuta ofisi yako ishapigwa bomu je hayo maendeleo utayapataje
Tupende nchi yetu
 
Watu kama ninyi sidhani kama mnajielewa,hivi haki yako kweli kuidai unataka mtu awepo wa kukusaidia?Mi nadhani haina haja we kaa nyumbani acha wengine wapambane ila kitu pekee nachoweza kusema kwako ni kuwa wanaoogopa kufa wakati wa vita ndiyo hufa mapema.Hivi ninyi mlipewa unga gani wa ndere mkafungwa ufahamu kiasi hiki?Hivi mkeo anapojifungulia chini unasubiri mtu mwingine akupiganie haki hii?mwanao anapopata elimu ya ovyo sasa unataka awepo wa kukupigania?ndugu zako wanaoteseka kwa kukosa huduma bora za kijamii huku pesa zikipelekwa kunulia wapinzani na kurudia chaguzi unasubiri nani akupiganie?hivi mnadhani nchi ikikombolewa ni wapinzani pekee ndiyo wataishi kwa furaha au watanzania wote?kabla hamjafungua midomo kuzungumza upumbavu wenu tafadhari fungueni bongo zenu.Wengine mnawaona watanzania wenzenu wanaojiandaa kwa maandamano kama vile hawajielewi ninyi tu ndiyo wenye akili kuliko wenzenu wote,mngejua hata hao mnaowapigania wanawachora tu hawana love yoyote kwenu zaidi ya kuwachora mngeungana na watanzania wenzenu kuipigania haki kipindi hiki kigumu pengine kuliko chochote katika historia ya taifa letu.Mnaaminishwa kuwa mange ni kibaraka mnasahau kuwa watanzania wenzenu wanauawa,wanatekwa,wanateswa,wanafungwa kwa kutumia haki zao za kikatiba tu nani kibaraka kati ya mange na ninyi?CCM mmekabwa mbaya sana this time,mnajaribu kuanzisha thread but you lack logic,SWALI moja tu kwako ni JE UNAAMINI KATIKA UTAWALA HUU KUNA UVUNJIFU WA HAKI ZA KIKATIBA?Kama huamini katika hilo ikifika tarehe 26/04 we kaa nyumbani cheza kidali poo na mkeo na watoto wako hope hutokuwa bored.
 
Vurugu gani tena? Nani wanachochea vurugu? Hebu weka mambo wazi hapa nikuelewe.
Kwa mtazamo mdogo nilio nao kunakatabia kameibuka cha kutaka wananchi wawe na chuki kitu ambacho si sahihi na watu wanaojaribu kufanya haya ni kwa maslahi ya kina nan
 
Nchi yetu bado changa sana tunaposema maendeleo ya dhati huwezi yapata katika vurugu mfano unaenda kazini unakuta ofisi yako ishapigwa bomu je hayo maendeleo utayapataje
Tupende nchi yetu
Ujinga mzigo mkubwa sana,watu kama ninyi hamfahamu hata haki zenu kuwaelimisha ni kupoteza muda halafu ni bora uwe hujui hujui sasa mtu mwenyewe anajifanya mjuaji halfu hajui
 
Watu kama ninyi sidhani kama mnajielewa,hivi haki yako kweli kuidai unataka mtu awepo wa kukusaidia?Mi nadhani haina haja we kaa nyumbani acha wengine wapambane ila kitu pekee nachoweza kusema kwako ni kuwa wanaoogopa kufa wakati wa vita ndiyo hufa mapema.Hivi ninyi mlipewa unga gani wa ndere mkafungwa ufahamu kiasi hiki?Hivi mkeo anapojifungulia chini unasubiri mtu mwingine akupiganie haki hii?mwanao anapopata elimu ya ovyo sasa unataka awepo wa kukupigania?ndugu zako wanaoteseka kwa kukosa huduma bora za kijamii huku pesa zikipelekwa kunulia wapinzani na kurudia chaguzi unasubiri nani akupiganie?hivi mnadhani nchi ikikombolewa ni wapinzani pekee ndiyo wataishi kwa furaha au watanzania wote?kabla hamjafungua midomo kuzungumza upumbavu wenu tafadhari fungueni bongo zenu.Wengine mnawaona watanzania wenzenu wanaojiandaa kwa maandamano kama vile hawajielewi ninyi tu ndiyo wenye akili kuliko wenzenu wote,mngejua hata hao mnaowapigania wanawachora tu hawana love yoyote kwenu zaidi ya kuwachora mngeungana na watanzania wenzenu kuipigania haki kipindi hiki kigumu pengine kuliko chochote katika historia ya taifa letu.Mnaaminishwa kuwa mange ni kibaraka mnasahau kuwa watanzania wenzenu wanauawa,wanatekwa,wanateswa,wanafungwa kwa kutumia haki zao za kikatiba tu nani kibaraka kati ya mange na ninyi?CCM mmekabwa mbaya sana this time,mnajaribu kuanzisha thread but you lack logic,SWALI moja tu kwako ni JE UNAAMINI KATIKA UTAWALA HUU KUNA UVUNJIFU WA HAKI ZA KIKATIBA?Kama huamini katika hilo ikifika tarehe 26/04 we kaa nyumbani cheza kidali poo na mkeo na watoto wako hope hutokuwa bored.

Nchi yetu ni ya demokrasia na ina mfumo wa kiutawala huwezi sema upite shortcut na ukafanikiwa mie nauliza demokrasia sio kushawishi chuki na husda kujenga hoja ni jambo bora ..
 
Kwaio walivoua mdogo wangu kwa kipigo nani wa kunisaidia
Je we unadhani njia sahihi ni kujenga chuki au kufuaya demokrasia maana hata useme upambane matokea yake yatakua mabaya ndio maana nasisitiza amani ina uwanja mpana sana kuliko njia za shortikati
 
Amani gani unayoisemea?kama una ajira una haki ya kuogopa ila mwenzio vyeti vipo sandukuni na ninabangaiza tu mtaani mtaji shida. Majanga mengi. Usijifanye hauelewi maisha
Mkuu hata kabla sijakujibu ni kuulize wewe kwann tanzania ni maskini kiuchumi
Je nn sababu za kudumaa kiuchumi kwa miaka mingi
 
Hilo swali waulize wakuu wa nchi.haswa ccm ndo inaongoza nchi tangu mwanzo
Nchi nyingi za afrika ni maskini hivyo tunapoamua kujenga nchi napakawa na uwezekano wa kuijenga tusichezee kuna nchi zingine amani haipo nchi haikaliki hivyo tunasafari ndefu ya kupigania maendeleo yetu nasio kuleteana porojo au hoja dhaifu ambazo hata kama ukizitekeleza hutoamka tajiri badala yake safari yakutafuta maendeleo itabakia kuwa ile ile sana unaweza kuifanya iwe nzito au nyepesi
 
Nchi nyingi za afrika ni maskini hivyo tunapoamua kujenga nchi napakawa na uwezekano wa kuijenga tusichezee kuna nchi zingine amani haipo nchi haikaliki hivyo tunasafari ndefu ya kupigania maendeleo yetu nasio kuleteana porojo au hoja dhaifu ambazo hata kama ukizitekeleza hutoamka tajiri badala yake safari yakutafuta maendeleo itabakia kuwa ile ile sana unaweza kuifanya iwe nzito au nyepesi
Kwa hiyo unaamini Tz ni nchi masikini? I guess you are too young to argue
 
Kwa hiyo unaamini Tz ni nchi masikini? I guess you are too young to argue
Repoti za kimataifa zinasema
Kwahiyo we undhani tanzania ni tajiri katika nchi matajiri tanzania haipo labda kichwan mwako mkuu
 
Repoti za kimataifa zinasema
Kwahiyo we undhani tanzania ni tajiri katika nchi matajiri tanzania haipo labda kichwan mwako mkuu
Mkuu hadi hapo nimekuelewa kuwa hauwazi vizuri. Labda nikuulize,kama serikali Ingesimamia rasilimali za nchi vizuri tungekuwa hapa tulipo?kwani hapa Tz kuna vitu vingapi adimu Afrika nzima?hebu jiongeze
 
Back
Top Bottom