Je, nikimuacha nitakuwa nakosea?

Na ameanza kulalamika mapema sana, je ataweza kumtunza huyo Mama akiwa mzee? Ikiwa ni pamoja na kumpatia huduma muhimu pale atakapokuwa hawezi kabisa?
Kumtunza mama ktu gani ndgu, mimi naongelea mtu kutaka hela for anasa, bia zenyewe nilipeleka katoni akalalamika kwanini sijapeleka boxi zima, we unaona ni sawa? tena kwa binti ambae unajua ndo anapambana na maisha?
 
dada unatakiwa upate mtu sahihi wakukushauri nahitaji kuongea na ww kwa kirefu naimani ntakuwa naushauri utakao kusaidia please dm me
 
Habari wadau, ama kweli yakikufika huna namna utazungumza tu. Mwenzenu yamenifika shingoni na sijui kama nikichukua maamuzi ya kumuacha nitakua nakosea au lah.

Nikiri katika mahusiano yote niliyopitia sijawahi kuwa na mwanaume anayenifanya nijisikie furaha kama huyu kaka.Uhusiano wetu una mwaka sasa. Ni mkaka anayepambana sana, anajali, anahudumia pale anapoweza na kule 6*6 ndo usiseme. Hamna kitu ananificha. In short he is a man in every woman's dream mpaka nikawa naogopa kumpoteza bwana.

Mbembe ikaja baada ya kunitambulisha kwa mama yake mzazi (Eh Mungu). Mama alinipokea vizuri tu lakini siku ya kwanza tu akaniambia ukija niletee bia, mtoto wa kike nikapeleka. Baada ya hapo kila nikiona simu ya yule mama yeye ni kutaka hela tu kwangu. Nikajiuliza ni kisa kaniona na gari au ni nini?

On top of that mama yake hatak apange, kashikilia akae nyumbani eti asiharibu hela kwa kulipa kodi. Mshahara wake wote unatumika kwenye matumizi ya nyumbani, kama anabakiza ni kiasi kdg sana. Sasa kutokana na ukaribu huo kati yao naogopa hata kumshauri asije ona nawaingilia maisha yao.

Napata hofu kuwa ntakua adui kwa yule mama, maana akibadilika kimatumizi ataona mimi ndo kisababishi. Jamaa anapanga mipango ya ndoa lakini naogopa sana kuingia kwenye ile familia. Maana hata akiongea nae kwenye simu akiomba hela akimwambia hana anamwambia ahakikishe anaipata anampa na kijana anafanya hivyo.

Je, nikimuacha huyu kijana mapema nitakuwa nakosea?
new gal

1. Tatizo lako wewe ni kuwa mtoto anamdekeza/kumsikiliza mama yake au ni nini?

2. Je akiondoka hapo kwao mkaenda kupanga, lakini akawa bado anamsikiliza/kumdekeza mama yake utakubali akuwowe au la?

3. Mama yake akiondoka hapo kwao akakuacha wewe na mpenzi wako kutakuwa na shida? Au ni lazima nyinyi muondoke?

4. Wewe una wazazi wako? Je unawadekeza au huwadekezi? huyu jamaa anasemaje?

5.Je huyu kijana akianza pia kumdekeza mama yako au na baba yako kama anavyo mdekeza mama yake sawa sawa kutakuwa na shida? au lazima tu aache kumdekeza mama yake?


Ushauri wangu, kuwa mkweli kwa huyu mpenzi wako mueleze unachotaka haswa, kama unaona wivu sema, kama hujiamini mbele ya mamake sema, hata kama wewe ni mchoyo weka tu wazi. Baada ya hapo mnaweza kuachana kwa amani, akikutaka atakufuata atakuwa anajua anafuata nini.

Ukijibu maswali hayo, yanaweza kufanya nitoe ushauri specific kwa case yako. Ushauri wa hapo juu ni wa jumla jumla.
 
Habari wadau, ama kweli yakikufika huna namna utazungumza tu. Mwenzenu yamenifika shingoni na sijui kama nikichukua maamuzi ya kumuacha nitakua nakosea au lah.

Nikiri katika mahusiano yote niliyopitia sijawahi kuwa na mwanaume anayenifanya nijisikie furaha kama huyu kaka.Uhusiano wetu una mwaka sasa. Ni mkaka anayepambana sana, anajali, anahudumia pale anapoweza na kule 6*6 ndo usiseme. Hamna kitu ananificha. In short he is a man in every woman's dream mpaka nikawa naogopa kumpoteza bwana.

Mbembe ikaja baada ya kunitambulisha kwa mama yake mzazi (Eh Mungu). Mama alinipokea vizuri tu lakini siku ya kwanza tu akaniambia ukija niletee bia, mtoto wa kike nikapeleka. Baada ya hapo kila nikiona simu ya yule mama yeye ni kutaka hela tu kwangu. Nikajiuliza ni kisa kaniona na gari au ni nini?

On top of that mama yake hatak apange, kashikilia akae nyumbani eti asiharibu hela kwa kulipa kodi. Mshahara wake wote unatumika kwenye matumizi ya nyumbani, kama anabakiza ni kiasi kdg sana. Sasa kutokana na ukaribu huo kati yao naogopa hata kumshauri asije ona nawaingilia maisha yao.

Napata hofu kuwa ntakua adui kwa yule mama, maana akibadilika kimatumizi ataona mimi ndo kisababishi. Jamaa anapanga mipango ya ndoa lakini naogopa sana kuingia kwenye ile familia. Maana hata akiongea nae kwenye simu akiomba hela akimwambia hana anamwambia ahakikishe anaipata anampa na kijana anafanya hivyo.

Je, nikimuacha huyu kijana mapema nitakuwa nakosea?
Nakushauri muache maana wenye sifa kama hizo tumejazana tena mama zetu sio wasumbufu kama mkwe wako wa sasa.
Mungu anipe nini fursa inajileta soon.
 
new gal

1. Tatizo lako wewe ni kuwa mtoto anamdekeza/kumsikiliza mama yake au ni nini?

2. Je akiondoka hapo kwao mkaenda kupanga, lakini akawa bado anamsikiliza/kumdekeza mama yake utakubali akuwowe au la?

3. Mama yake akiondoka hapo kwao akakuacha wewe na mpenzi wako kutakuwa na shida? Au ni lazima nyinyi muondoke?

4. Wewe una wazazi wako? Je unawadekeza au huwadekezi? huyu jamaa anasemaje?

5.Je huyu kijana akianza pia kumdekeza mama yako au na baba yako kama anavyo mdekeza mama yake sawa sawa kutakuwa na shida? au lazima tu aache kumdekeza mama yake?

Ushauri wangu, kuwa mkweli kwa huyu mpenzi wako mueleze unachotaka haswa, kama unaona wivu sema, kama hujiamini mbele ya mamake sema, hata kama wewe ni mchoyo weka tu wazi. Baada ya hapo mnaweza kuachana kwa amani, akikutaka atakufuata atakuwa anajua anafuata nini.
He should be a man, full stop
 
Kuwa a man ni kumkataa mama yake?
Sio kumkataa bali anatakiwa aweze kujisimamia, sikatai yeye kumsikiliza au kumhudumia mama. Ila kwa mwendo anaoenda hatokaa afanikiwe. Haiwezekani unakosa hela ya kumlipia mwanao ada, kisa mama anahitaji hzo hela kwa matumizi binafsi yasiyo na tija
 
Habari wadau, ama kweli yakikufika huna namna utazungumza tu. Mwenzenu yamenifika shingoni na sijui kama nikichukua maamuzi ya kumuacha nitakua nakosea au lah.

Nikiri katika mahusiano yote niliyopitia sijawahi kuwa na mwanaume anayenifanya nijisikie furaha kama huyu kaka.Uhusiano wetu una mwaka sasa. Ni mkaka anayepambana sana, anajali, anahudumia pale anapoweza na kule 6*6 ndo usiseme. Hamna kitu ananificha. In short he is a man in every woman's dream mpaka nikawa naogopa kumpoteza bwana.

Mbembe ikaja baada ya kunitambulisha kwa mama yake mzazi (Eh Mungu). Mama alinipokea vizuri tu lakini siku ya kwanza tu akaniambia ukija niletee bia, mtoto wa kike nikapeleka. Baada ya hapo kila nikiona simu ya yule mama yeye ni kutaka hela tu kwangu. Nikajiuliza ni kisa kaniona na gari au ni nini?

On top of that mama yake hatak apange, kashikilia akae nyumbani eti asiharibu hela kwa kulipa kodi. Mshahara wake wote unatumika kwenye matumizi ya nyumbani, kama anabakiza ni kiasi kdg sana. Sasa kutokana na ukaribu huo kati yao naogopa hata kumshauri asije ona nawaingilia maisha yao.

Napata hofu kuwa ntakua adui kwa yule mama, maana akibadilika kimatumizi ataona mimi ndo kisababishi. Jamaa anapanga mipango ya ndoa lakini naogopa sana kuingia kwenye ile familia. Maana hata akiongea nae kwenye simu akiomba hela akimwambia hana anamwambia ahakikishe anaipata anampa na kijana anafanya hivyo.

Je, nikimuacha huyu kijana mapema nitakuwa nakosea?
kosa sio jamaa kosa liko kwa mama kama jamaa mna elewana naomba kaa chini jaribu kuongea na na muelezee juu ya mama yake mzazi naona inaweza saidi zaidi kuliko kuwa na mawazo na maumivuuu....

ka story yako tu mimi nimeona mamam ni kero
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom