Good morning, Members!
Naheshimu sana wakati wenu na bila kuwachosha niwatakie kila lenye kheri katika utafutaji wenu.
Story inaanza hivi, miaka minne iliyopita nilikutana na mwanamke mmoja ambaye tulitokea kupendana sana, bila kuongezea kuwa alionesha kunipenda sana tena sana basi hii story...
Habari wadau, naandika huku nacheka jamani ah, okay niende straight kwenye mada tajwa ila kabla sijasema deep naomba niwashukuru wote mlionishauri haswa wale mlioniPM na wengine mmeenda mbali zaidi kuwasiliana na mimi kwenye simu.Mmenisaidia sana!
Basi baada ya ushauri niliamua kufanya...
Habari wadau, ama kweli yakikufika huna namna utazungumza tu. Mwenzenu yamenifika shingoni na sijui kama nikichukua maamuzi ya kumuacha nitakua nakosea au lah.
Nikiri katika mahusiano yote niliyopitia sijawahi kuwa na mwanaume anayenifanya nijisikie furaha kama huyu kaka.Uhusiano wetu una mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.