The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,333
- 4,152
Hivi kidukulilo yupoo màaana ndio zake hizi
Mnunulie TumvulisheSalaam Wakuu,
Nina Mwandani wangu nampenda sana. Natamani kuona anakuwa na furaha muda wote na kuniamini.
Sasa kuna meseji iliingia kwenye simu yangu bahati mbaya, nikaona amebadilika japo hakutia neno. Nafsi inanisuta sana..
Nikawa natafuta zawadi ya kumnunulia ili iwe kama samahani ya kiutu uzima.
Kuna website wanauza mavazi, nikaona Chupi nzuri nikaipenda.
Je nikimnunulia huyo chupi itasuuza moyo wake? Au atasema bora ungenipa hela nijue niifanyie nini.. (Akili yangu nahisi ataipeleka Vicoba ikaliwe na Mwenyekiti).
Naomba mawazo yenu
Chupi nilochagua ni hii
View attachment 2024572View attachment 2024573View attachment 2024574View attachment 2024575View attachment 2024576
Zako unanunuaga sh ngapi?Hiyo chupi ina mziki ndani? Mpe cash atanunua chupi ya buku 2 chenji zingine ataanzishia mradi wa kuchoma maandazi atakukumbuka baadaye(joke)
Dah chupi ya bei kuubwa kabisa ni buku 7 hadi 10 si mbaya , siwezi kununua chupi ya laki 2 aisee labda kama ina kufuli. Wewe unaweza mnunulia babe wako chupi ya laki 2?Zako unanunuaga sh ngapi?
Kama ni hawa wa kwa mtigole ataona unaharibu pesa kibao kitakugeukia,alafu mbona unataka kufanya vitu hauna uwezo navyo,Yaani ndo Changamoto. Ila kuna jamaa kakubali kuniazima laki moja. Muhimu mpenzi wangu afurahi. Pesa kitu gani bana?
We ni mwanamke?Inaskitsha sana........kama una uwezo mnunulie lkn sjaona maaajabu yake haina tofauti na hz za buku buku huku kwetu mnadani
Yeye atahisi umeinunua 3000, na ukimwonyesha ushahidi atakasirika atasema ungempa hiyo pesa akuonyeshe matumiziSalaam Wakuu,
Nina Mwandani wangu nampenda sana. Natamani kuona anakuwa na furaha muda wote na kuniamini.
Sasa kuna meseji iliingia kwenye simu yangu bahati mbaya, nikaona amebadilika japo hakutia neno. Nafsi inanisuta sana..
Nikawa natafuta zawadi ya kumnunulia ili iwe kama samahani ya kiutu uzima.
Kuna website wanauza mavazi, nikaona Chupi nzuri nikaipenda.
Je nikimnunulia huyo chupi itasuuza moyo wake? Au atasema bora ungenipa hela nijue niifanyie nini.. (Akili yangu nahisi ataipeleka Vicoba ikaliwe na Mwenyekiti).
Naomba mawazo yenu
Chupi nilochagua ni hii
View attachment 2024572View attachment 2024573View attachment 2024574View attachment 2024575View attachment 2024576
Yeah naweza..lakini hadi niwe Milionea (US Dollar).Dah chupi ya bei kuubwa kabisa ni buku 7 hadi 10 si mbaya , siwezi kununua chupi ya laki 2 aisee labda kama ina kufuli. Wewe unaweza mnunulia babe wako chupi ya laki 2?
ila jf kuna majibu jmn khaa!mnunulie tu mkuu, kazi ya kuivua tutasaidiana.
Baba wewe😂😂😂 us milionea🙌Yeah naweza..lakini hadi niwe Milionea (US Dollar).
ndio,duniani hapa mipango.for now acheze tu na hizi za 10-30kBaba wewe us milionea
, Itabidi ujitahidi kutembea na K-Y mfukoni maana kibao kitapokugeukia tope la kwa Mpalange litachezewa balaa.mnunulie tu mkuu, kazi ya kuivua tutasaidiana.
Mkuu weka picha yake hapaJ
Jamani, mkuu kwanini usimtafute wako na wewe kuliko kimtamani wangu?. Kwa jinsi ninavyompenda, nikikufamania nahisi utasababisha nifungwe maisha. Usijipalie mkaa
Yaani unamdindishia mke wa mwenzako??.Nshadinda tayari