lyenyi
JF-Expert Member
- Mar 4, 2020
- 2,531
- 6,998
Nini chupi? Wenzio wanatoa moyo, wanahonga Figo na bado wanaachwa!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mpe fursa achague anachotaka kwenye hiyo website.Jikite kwenye mada mkuu.
Kama ina chuma ulete mnunulie tu atasahau machungu yote ya msgSalaam Wakuu,
Nina Mwandani wangu nampenda sana. Natamani kuona anakuwa na furaha muda wote na kuniamini.
Sasa kuna meseji iliingia kwenye simu yangu bahati mbaya, nikaona amebadilika japo hakutia neno. Nafsi inanisuta sana..
Nikawa natafuta zawadi ya kumnunulia ili iwe kama samahani ya kiutu uzima.
Kuna website wanauza mavazi, nikaona Chupi nzuri nikaipenda.
Je nikimnunulia huyo chupi itasuuza moyo wake? Au atasema bora ungenipa hela nijue niifanyie nini.. (Akili yangu nahisi ataipeleka Vicoba ikaliwe na Mwenyekiti).
Naomba mawazo yenu
Chupi nilochagua ni hii
View attachment 2024572View attachment 2024573View attachment 2024574View attachment 2024575View attachment 2024576
Jamani, mkuu kwanini usimtafute wako na wewe kuliko kimtamani wangu?. Kwa jinsi ninavyompenda, nikikufamania nahisi utasababisha nifungwe maisha. Usijipalie mkaamnunulie tu mkuu, kazi ya kuivua tutasaidiana.
Tena iwe IPhone latest version.Wadada wanapenda sana simu janja kubwa kubwa. Je huyo wako tayari anayo simu janja?
Asikute anatafuta chupi ya laki 2 wakati bibie anatumia kiswaswadu.Tena iwe IPhone latest version.
Sasa sijui mleta mada ana hiyo hela
Sio chai jabaTATEPA
hahaha kamanda kapige chanjo kama bado, wewe ni mhengaSio chai jaba
Kaka yani unafanya hayo yote umfurahishe mwanammke??Yaani ndo Changamoto. Ila kuna jamaa kakubali kuniazima laki moja. Muhimu mpenzi wangu afurahi. Pesa kitu gani bana?