MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 9,316
- 25,443
Salamu sio makusudio ya mada yangu pendwa.
Ndugu zanguni, Mimi naishi kijijini Sana na Mimi ni mtumishi wa serikali ngazi niliobarikiwa ambayo ninyi haiwahusu na siwezi kuwaambia ng'o.
Sasa Jana mtendaji wa kata yetu ambaye ni rafiki yangu na pia Mimi ndiye mshauri wake mkuu ,alinieleza kuwa kutakuwa na kikao siku ya leo na Mimi anaomba nihidhurie bila kukosa ,Sasa kwasababu Mimi ndiye mshauri mkuu.
Nilipatwa na fadhaa iweje aweke kikao bila kuniuliza walau nimpe ushauri basi nikamezea Ila nikamuhoji kikao hiki Cha Kijiji kinahusu nini akawa anang'ata maneno.
Sasa leo asubuhi mida ya saa mbili kikao kimekaliwa.
Wananchi wananisema Mimi kuwa huduma ninayotoa natoa nikiwa nimelewa hivyo hawana Imani na Mimi ,Sasa kwa ushamba wao eti wananishitaki kwa diwani kuwa aniondoe hapa kwenye kata yao 😭
Sasa kichekesho ni kuwa Mimi sipo chini ya diwani na Wala hawezi kunipanga Jambo lolote kuhusu kazi zangu ,alafu diwani mwenyewe Mimi ndiye mshauri wake mkuu juu ya masuala ya kampeni na pia ameomba nimuazime Corolla yangu kampeni zikianza ili azunguke vijiji vyote vya kata kupiga kampeni na Mimi ndiye mpambe wake mkuu hivyo kwa hili ni sawa na kusema mbuzi kafia kwa muuza bucha.
Ila sasa nipende kudeclare interest zangu kuwa ni kweli pombe nakunywa Ila sio muda wa kazi, Mimi nakunywa kuanzia saa tisa na pombe sinywi za kizungu tena maana hela Sina, Mimi nakunywa ulanzi hivyo kwa kunisema mbele ya watu Mia Saba na ushee nimeona ni Kama wamenidharau na kuniabisha nawaza niwashitaki au nikubali waning'atue.
Nasema nikubali waning'atue maana hawa wanakijiji wanakuwaga na namba za mpaka watu wa mkoani na wilayani hata wizarani maana wakija uwa wanajipendekeza ili waanze kututisha tukizingua.
Ndugu zangu wa damu wanajamiiforums hilo la pombe limeniuma Sana Ila sanjari na hilo Jambo lilioninyima amani mpaka nikaamua nijifiche kwenye hiki chumba Cha mikutano ili nitoe ya moyoni ni habari ya mwananchi mmoja kuthubutu kusema niliachwa na mke wangu sababu ya umalaya ilihali si kweli na pia akamalizia kuwa wake zao wako matatani maana napenda kutongoza wake zao.
Ndugu zanguni Mimi kwanza natoka Dar es salaam kwenye kila aina ya wanawake waliojaaliwa na kila kitu, hivi kweli nianze kutongoza tuwanawake twa huku? Kwanza ni tweusi, tumekondeana na zaidi hawana sifa nizitakazo (hasa ukubwa wa mpini) kwa maneno hayo huyu mwananchi naye kaiharibu asubuhi yangu na kuniboa Sana.
Nisiwchoshe nilitaka tushauriane Jambo maana kwanza niliwaza nifungue jalada hapa kwenye kata baadaye twende mahakamani ili wathibitishe waliyonituhumu nayo au wanilipe wakishindwa Ila kingine nikawaza labda nikubali waning'oe niende kwingine japo hapa niahaweka mizizi yangu kutoka kizembe ni kuhatarisha uchumi wangu.
Lakini la mwisho na linalonizunguka kichwani ni kuwa kwakuwa wasemaji wa huo upuuzi wote nimewaona basi niwape kipondo either kwa kutuma vijana wenye nguvu wawakung'ute alafu Mimi nisubirie hatma yangu.
Naomba ushauri wenu, niko vibaya najihisi hasira na aibu Sana hasa ukizingatia hapa job sinaga time na washikaji wamefurahi Sana maana nawaona wakiniangalia wanatamani kucheka Ila wanajizuia na Mimi Sina time nao.
Karibu ndugu zangu mwenzenu siko sawa leo.
=====
Suluhisho limepatikana, ahsanteni kwa ushauri.
Ukijikuta limbeya limbeya basi scroll kushuka chini kujua nini kilijiri hususani kwa ambao hamkujua mwenzenu nilikumbwa na nini.
Mchana mwema.
Ndugu zanguni, Mimi naishi kijijini Sana na Mimi ni mtumishi wa serikali ngazi niliobarikiwa ambayo ninyi haiwahusu na siwezi kuwaambia ng'o.
Sasa Jana mtendaji wa kata yetu ambaye ni rafiki yangu na pia Mimi ndiye mshauri wake mkuu ,alinieleza kuwa kutakuwa na kikao siku ya leo na Mimi anaomba nihidhurie bila kukosa ,Sasa kwasababu Mimi ndiye mshauri mkuu.
Nilipatwa na fadhaa iweje aweke kikao bila kuniuliza walau nimpe ushauri basi nikamezea Ila nikamuhoji kikao hiki Cha Kijiji kinahusu nini akawa anang'ata maneno.
Sasa leo asubuhi mida ya saa mbili kikao kimekaliwa.
Wananchi wananisema Mimi kuwa huduma ninayotoa natoa nikiwa nimelewa hivyo hawana Imani na Mimi ,Sasa kwa ushamba wao eti wananishitaki kwa diwani kuwa aniondoe hapa kwenye kata yao 😭
Sasa kichekesho ni kuwa Mimi sipo chini ya diwani na Wala hawezi kunipanga Jambo lolote kuhusu kazi zangu ,alafu diwani mwenyewe Mimi ndiye mshauri wake mkuu juu ya masuala ya kampeni na pia ameomba nimuazime Corolla yangu kampeni zikianza ili azunguke vijiji vyote vya kata kupiga kampeni na Mimi ndiye mpambe wake mkuu hivyo kwa hili ni sawa na kusema mbuzi kafia kwa muuza bucha.
Ila sasa nipende kudeclare interest zangu kuwa ni kweli pombe nakunywa Ila sio muda wa kazi, Mimi nakunywa kuanzia saa tisa na pombe sinywi za kizungu tena maana hela Sina, Mimi nakunywa ulanzi hivyo kwa kunisema mbele ya watu Mia Saba na ushee nimeona ni Kama wamenidharau na kuniabisha nawaza niwashitaki au nikubali waning'atue.
Nasema nikubali waning'atue maana hawa wanakijiji wanakuwaga na namba za mpaka watu wa mkoani na wilayani hata wizarani maana wakija uwa wanajipendekeza ili waanze kututisha tukizingua.
Ndugu zangu wa damu wanajamiiforums hilo la pombe limeniuma Sana Ila sanjari na hilo Jambo lilioninyima amani mpaka nikaamua nijifiche kwenye hiki chumba Cha mikutano ili nitoe ya moyoni ni habari ya mwananchi mmoja kuthubutu kusema niliachwa na mke wangu sababu ya umalaya ilihali si kweli na pia akamalizia kuwa wake zao wako matatani maana napenda kutongoza wake zao.
Ndugu zanguni Mimi kwanza natoka Dar es salaam kwenye kila aina ya wanawake waliojaaliwa na kila kitu, hivi kweli nianze kutongoza tuwanawake twa huku? Kwanza ni tweusi, tumekondeana na zaidi hawana sifa nizitakazo (hasa ukubwa wa mpini) kwa maneno hayo huyu mwananchi naye kaiharibu asubuhi yangu na kuniboa Sana.
Nisiwchoshe nilitaka tushauriane Jambo maana kwanza niliwaza nifungue jalada hapa kwenye kata baadaye twende mahakamani ili wathibitishe waliyonituhumu nayo au wanilipe wakishindwa Ila kingine nikawaza labda nikubali waning'oe niende kwingine japo hapa niahaweka mizizi yangu kutoka kizembe ni kuhatarisha uchumi wangu.
Lakini la mwisho na linalonizunguka kichwani ni kuwa kwakuwa wasemaji wa huo upuuzi wote nimewaona basi niwape kipondo either kwa kutuma vijana wenye nguvu wawakung'ute alafu Mimi nisubirie hatma yangu.
Naomba ushauri wenu, niko vibaya najihisi hasira na aibu Sana hasa ukizingatia hapa job sinaga time na washikaji wamefurahi Sana maana nawaona wakiniangalia wanatamani kucheka Ila wanajizuia na Mimi Sina time nao.
Karibu ndugu zangu mwenzenu siko sawa leo.
=====
Suluhisho limepatikana, ahsanteni kwa ushauri.
Ukijikuta limbeya limbeya basi scroll kushuka chini kujua nini kilijiri hususani kwa ambao hamkujua mwenzenu nilikumbwa na nini.
Mchana mwema.