Je, nifanye nini?

Je, nifanye nini?

Habari ndugu zangu mimi ni kijana ambaye nko chuo kuna msichana mmoja hivi nimetokea kumpenda sanaa nilijaribu kumwambia akaniambia nimechelewa coz tayari ana mtu wake nikajitahidi kumbembeleza bahati nzuri akanielewa so tukawa in relationship.

Sasa cha ajabu huyu msichana amekuwa kimya sana in communication wala hanicheki mpaka mimi nianze nikimtumia msg kwa mfano saa 1 usiku anaweza akajibu saa 3 usiku.

Naweza nikampigia asipokee na akipokea nikianza kuongea nae tu ananiambia ana usingizi daah sasa mimi ninakua simuelewi kabisa yaani nimevumilia sana mpaka nahisi uvumilivu unaanza kunishinda aise, naombeni ushauri wenu nifanyaje na je ni kweli ananipenda au?

Watoto wa siku hizi yeye alishakuambia kuwa ana mtu wewe ukabembeleza akakubali sasa nataka kukuuliza ulijuaje kama amekubali na alivokuambia kuwa amekubali alikwambia huyo aliekuwa nae amemweka wapi?
 
Hzo ni dalili kwamba hakukubali ila wewe unaganda kama kupe,achana nae fanya yako tu your waste time
 
jibu alilokupa awali ndo lilikuwa sahihi kukubali kwake ilikuwa baada ya kumg'ang'niza. Possibly yale mapenz yake ya awali yamezd kuchanua nawe akaona aanze kukupotezea mdogomdogo
 
Habari ndugu zangu mimi ni kijana ambaye nko chuo kuna msichana mmoja hivi nimetokea kumpenda sanaa nilijaribu kumwambia akaniambia nimechelewa coz tayari ana mtu wake nikajitahidi kumbembeleza bahati nzuri akanielewa so tukawa in relationship.

Sasa cha ajabu huyu msichana amekuwa kimya sana in communication wala hanicheki mpaka mimi nianze nikimtumia msg kwa mfano saa 1 usiku anaweza akajibu saa 3 usiku.

Naweza nikampigia asipokee na akipokea nikianza kuongea nae tu ananiambia ana usingizi daah sasa mimi ninakua simuelewi kabisa yaani nimevumilia sana mpaka nahisi uvumilivu unaanza kunishinda aise, naombeni ushauri wenu nifanyaje na je ni kweli ananipenda au?

Una umri gani?
 
Habari ndugu zangu mimi ni kijana ambaye nko chuo kuna msichana mmoja hivi nimetokea kumpenda sanaa nilijaribu kumwambia akaniambia nimechelewa coz tayari ana mtu wake nikajitahidi kumbembeleza bahati nzuri akanielewa so tukawa in relationship.

Sasa cha ajabu huyu msichana amekuwa kimya sana in communication wala hanicheki mpaka mimi nianze nikimtumia msg kwa mfano saa 1 usiku anaweza akajibu saa 3 usiku.

Naweza nikampigia asipokee na akipokea nikianza kuongea nae tu ananiambia ana usingizi daah sasa mimi ninakua simuelewi kabisa yaani nimevumilia sana mpaka nahisi uvumilivu unaanza kunishinda aise, naombeni ushauri wenu nifanyaje na je ni kweli ananipenda au?

Your brain is not yet fully developed, get to know that the odds are against you for you being used up as a spair part. You were supposed to know that forcing a relationship is like frogging a dead horse. Leave her please, you aren't needed there.
 
Kutusumbua kote huku kwa kuhitaji ushauri kumbe ni kwa sababu korodani zakuwasha...nyambafffff!!!

ha ha ha ha ha ha

yawezekana anaamua kufanya hivyo kuliko kukosa kabisa, angepokelewa simu pengine asingalikimbilia huko
 
nyie wanaume mnatuaibisha wenzenu....wanawake kibao mtaani tena unagegeda kwa raha zako unakaa vumilia upuuzi. achana nae mwana.
 
Shiiiit! Yaan unaniuliza mim km anakupenda kwel au laah kwan mi ndo dem wako? Plz give mi wat u r smoking! I want to be crazy
 
Back
Top Bottom