Kelly G
New Member
- Jun 29, 2015
- 2
- 0
Nimatumaini yangu wote ni wazima
jina langu ni Kelly nilikuwa na mpenzi wangu ambaye nilimpenda sana kabla sijaenda kusoma mkoa mwingine ambao ni DSM nilimwambia naondoka lakini unabidili ukubaliane na ntakachoomba kwako nikamuomba kama hataweza kuvumilia kunisubiri basi awe na mpenzi mwingine sababu sipendi kushare kama mara tatu akasema ataweza nikaja DSM kwa ajili ya mambo ya shule.
Ile nafika huku miezi miwili kupita akapata smartphone akabadilika akaniambia ktk social network nisimuite sweet names mara anataka kulala mapema eti mwili ukuwe mara nikipiga simu yake naukizwa leta habari kitu kidogo ananuna hata siku tatu pengine mimi hata sijakosea.
Fb posts za love haziishi nikaamuwa kufata yangu baadae nikagundua ana girlz wengi katika mitandao wanaomsufia zile sifa ndio zinampa kichwa mwezi mzm ukapita akiendelea hivyo kuna siku akaniambia kuwa yote niliyokuwa nakufanyia ni sababu ya msichana mmoja hivi Fb aliponitajia jina la huyo girl alikuwa ni rafiki yangu ikanibidi nimwambie yule msichana waendele kwa kuwa alinikana kuwa alishaachana nami yule girl nae akamkataa.
Sikupenda hali ya mpenzi nikaomba tuyamalizee tuendele katika mahusiano kumbe ndo nakaribisha tatizo lingine
baada ya kuwa pamojaa akawa hayupo kama awali hazikupita siku nyingi akaniambia sihitaji msichana sikuweza kumlazimisha kwa kuwa ni uamuzi wake nikaendelea na mambo mengine ukapita mwezi.
Nikiwa naumwa miguu sikufahamu nani alimpa taarifa akawa ananijulia hali kama mwanzo akanibembeleza nikamwambia mimi na mavazi ma baya kila sifa zote mbaya ninazo lakini kwa kuwa nampenda nikasahau yaliyopita nikarudiana nae kama mwanzo.Baadae nikapoteza usichana wangu kwa jinsi nilivyompenda nikawa na imani yeye ni wa kwanza na wamwisho kwangu .
Duh kumbe nimewrong nikimuhitaji hataki kuonana nami nikaona likizo chungu.tukienda lodge hataki kutoa fedha yake mara naumwa visingizio vingi me nitoe zaidi yeye yake inamipango minginee.Nikichelewa kidogo kufika alipo anazira na kununa akaanza maringo yake kama mwanzo mara sweet names kwa fb a/c yake kutoka kwa girlz akanimbia nawe waite sikujali hilo hata alipo niunfriend kwa fb a/c yake.
Nikabidi niondoke sikutaka rikizo yangu iwe kikwazo kwa wengine akaendelea na tabia yake kama mwanzo tena akazidi hadi siku 5 zinaweza pita bila hata yeye kunitafuta ikaendaa hvyoo nikiuliza hana vochaa mara hapend kujiunga anagomba tu kuna day nikawa natoka kwenye kipind mdogo wang akanitumia msg akisema kuwa mpenzi wako ananisimbua Fb ananitaka nilipokuja kumuuliza yeye akasema yeye ndio kanishobokea.
Nami nikafanya hvyo ntakwambia kesho yaani anaona kawaida tu.sikuhitaji kumuuliza kufahamu chochote kwa kuwa nafahamu tabia zake
kuna siku nikachukua simu ya sister nikakuta massage za yule mdogo yangu anaishi dom ziliwa zinazungumzia mambo ya boy wangu
kuwa anamsumbua simu kila mara anataka waonane mara anafuture naye maneno meng niliumia sana kudhalilishwa vile nikiamini mwenzangu yupo busy na chuo hata kunitafuta kwa nadra mambo mengi kumbe busy na girls.
Nilipomwambia akaniblock whatzap zen akawa hatumi tena hata texts nikituma sijibiwi nikamwambia yaishe anisamehe yote kwa kuwa nampenda mwisho nikachoka kutuma massage akanitafuta alipopiga simu sikuwepo sikufahamu nani alipokea na kiliendelea nini nilipokuja mtafuta mimi alipokea simu akiongea kwa dharau na maringo, akaniambia amekasirishwa na nimemuuzi sana kwa niliyoyafanya kuhusu yeye na mdogo wang nikabaki nashangaa mimi ndo tatizo nimsamehe sana kwa kuwa yeye haitaji kuwa na mapenzi nami mwenye lawama ilibidi niende call nililia sana.
Mama alipofanya mawasiliano nae kufahamu ni nani nini kinaendelea ,bado hakuthamini yule ni mzazi akaongea kwa maringo kama awali mama hakusikiliza kwa sababu ya dharau aliyoionyesha. Sikuwa na jinsi ilibidi nibadili namb ya simu nikamuahidi sitamsumbua tena baada ya siku kupita nikakuta katika account yake ya Fb ameadd relationship na msichana mwingine tena.
Je, wapenzi wote wapo hivyo na kwa wengine?
jina langu ni Kelly nilikuwa na mpenzi wangu ambaye nilimpenda sana kabla sijaenda kusoma mkoa mwingine ambao ni DSM nilimwambia naondoka lakini unabidili ukubaliane na ntakachoomba kwako nikamuomba kama hataweza kuvumilia kunisubiri basi awe na mpenzi mwingine sababu sipendi kushare kama mara tatu akasema ataweza nikaja DSM kwa ajili ya mambo ya shule.
Ile nafika huku miezi miwili kupita akapata smartphone akabadilika akaniambia ktk social network nisimuite sweet names mara anataka kulala mapema eti mwili ukuwe mara nikipiga simu yake naukizwa leta habari kitu kidogo ananuna hata siku tatu pengine mimi hata sijakosea.
Fb posts za love haziishi nikaamuwa kufata yangu baadae nikagundua ana girlz wengi katika mitandao wanaomsufia zile sifa ndio zinampa kichwa mwezi mzm ukapita akiendelea hivyo kuna siku akaniambia kuwa yote niliyokuwa nakufanyia ni sababu ya msichana mmoja hivi Fb aliponitajia jina la huyo girl alikuwa ni rafiki yangu ikanibidi nimwambie yule msichana waendele kwa kuwa alinikana kuwa alishaachana nami yule girl nae akamkataa.
Sikupenda hali ya mpenzi nikaomba tuyamalizee tuendele katika mahusiano kumbe ndo nakaribisha tatizo lingine
baada ya kuwa pamojaa akawa hayupo kama awali hazikupita siku nyingi akaniambia sihitaji msichana sikuweza kumlazimisha kwa kuwa ni uamuzi wake nikaendelea na mambo mengine ukapita mwezi.
Nikiwa naumwa miguu sikufahamu nani alimpa taarifa akawa ananijulia hali kama mwanzo akanibembeleza nikamwambia mimi na mavazi ma baya kila sifa zote mbaya ninazo lakini kwa kuwa nampenda nikasahau yaliyopita nikarudiana nae kama mwanzo.Baadae nikapoteza usichana wangu kwa jinsi nilivyompenda nikawa na imani yeye ni wa kwanza na wamwisho kwangu .
Duh kumbe nimewrong nikimuhitaji hataki kuonana nami nikaona likizo chungu.tukienda lodge hataki kutoa fedha yake mara naumwa visingizio vingi me nitoe zaidi yeye yake inamipango minginee.Nikichelewa kidogo kufika alipo anazira na kununa akaanza maringo yake kama mwanzo mara sweet names kwa fb a/c yake kutoka kwa girlz akanimbia nawe waite sikujali hilo hata alipo niunfriend kwa fb a/c yake.
Nikabidi niondoke sikutaka rikizo yangu iwe kikwazo kwa wengine akaendelea na tabia yake kama mwanzo tena akazidi hadi siku 5 zinaweza pita bila hata yeye kunitafuta ikaendaa hvyoo nikiuliza hana vochaa mara hapend kujiunga anagomba tu kuna day nikawa natoka kwenye kipind mdogo wang akanitumia msg akisema kuwa mpenzi wako ananisimbua Fb ananitaka nilipokuja kumuuliza yeye akasema yeye ndio kanishobokea.
Nami nikafanya hvyo ntakwambia kesho yaani anaona kawaida tu.sikuhitaji kumuuliza kufahamu chochote kwa kuwa nafahamu tabia zake
kuna siku nikachukua simu ya sister nikakuta massage za yule mdogo yangu anaishi dom ziliwa zinazungumzia mambo ya boy wangu
kuwa anamsumbua simu kila mara anataka waonane mara anafuture naye maneno meng niliumia sana kudhalilishwa vile nikiamini mwenzangu yupo busy na chuo hata kunitafuta kwa nadra mambo mengi kumbe busy na girls.
Nilipomwambia akaniblock whatzap zen akawa hatumi tena hata texts nikituma sijibiwi nikamwambia yaishe anisamehe yote kwa kuwa nampenda mwisho nikachoka kutuma massage akanitafuta alipopiga simu sikuwepo sikufahamu nani alipokea na kiliendelea nini nilipokuja mtafuta mimi alipokea simu akiongea kwa dharau na maringo, akaniambia amekasirishwa na nimemuuzi sana kwa niliyoyafanya kuhusu yeye na mdogo wang nikabaki nashangaa mimi ndo tatizo nimsamehe sana kwa kuwa yeye haitaji kuwa na mapenzi nami mwenye lawama ilibidi niende call nililia sana.
Mama alipofanya mawasiliano nae kufahamu ni nani nini kinaendelea ,bado hakuthamini yule ni mzazi akaongea kwa maringo kama awali mama hakusikiliza kwa sababu ya dharau aliyoionyesha. Sikuwa na jinsi ilibidi nibadili namb ya simu nikamuahidi sitamsumbua tena baada ya siku kupita nikakuta katika account yake ya Fb ameadd relationship na msichana mwingine tena.
Je, wapenzi wote wapo hivyo na kwa wengine?