Mwenye jibu la kisayansi anisaidie. Kama mama ananyonyesha mtoto mfano mwenye umri miezi 9 na kuendelea, akipata ujauzito, kuna athari zozote kuendelea kunyonyesha mwanawe?
Mwachisheni mtoto kunyonya. Ila na wewe uwe makini bana watoto wapishane kidogo, sasa watakuwa kama mapacha bana!
Wadau mupite huku mutowe musaada....