umekosea bwana andika jina lako mtoto atafute chake
Kama mke ni mchaga wa machame imekula kwako
umekosea bwana andika jina lako mtoto atafute chake
Na wewe pia ni kichwa cha familia?
Kaazi kwelikweli
Jina la hati ya kiwanja ni jina la mtoto, bila shaka hata nyumba itayojengwa mmliki wake atakuwa ni yule mwenye kiwanja...sasa sijui ukengeufu wa mawazo unautoa wapi!!!
Wewe ndo kichwa cha familia, lazima mali ziandikwe kwa jina lako, kuhusu kumuandika mtoto sio sahihi unless hamna mpango wa kuzaa mwingine!
kwanini hamkopi mkafunga ndoa? mtazini hadi lini?
Hata ungekuwa umemuoa tambua ww ndio kichwa cha familia sawa jielewe acha uzombi
Wanajamvi msaada, Mke wangu mtarajiwa amenishauri tununue kiwanja nikakubali na tukaamua kukinunua kiwanja hicho milioni mbili na akalazimisha tuandike majina ya mtoto wetu wa kwanza.
Tulizozana kidogo lakini nikakubali, sasa ananishauri na mimi nikakope benki ili tukajenge kwenye kiwanja chake maana anasema amechoka sana kupanga na ni gharama.
Je, kuna madhara kwangu kwa kuandika jina la mtoto kwasababu najua hicho kiwanja ni mke wangu aliyekinunua?
Hati ya kiwanja andikeni majina yenu wewe na mkeo! Na si la mtoto.
wewe mwanaume utakuwa msukuma au mnyamwezi maana hao wakigusa papuchi wanadata!!!
mPANGO WA KUZAA MWINGINE UPO TUMESHANUNUA TOKKA MWEZI WA 9 MWAKA HUU SHIDA NI KUJENGA AMBAO ASILIMIA 70 NI PESA YANGU YEYE NITADHURIKA VP TUKIJA GOMBANA
Kujenga ukweni ni sawa na kujenga kwenye service road
sishauri kuandika mr and mrs kwa sababu mrs jina hilo can be anybody
mfano mr and mrs jacob mushi kesho mmeachana kaoa mwingine fasta naye ataitwa mrs mushi.
instead aandike jacob mushi n maria chacha kama swala ni kuwa na majina yote mawili katika hati.