Ni jioni ya leo siku ya Ijumaa ninapofanya matayarisho ya manunuzi ya vitu vya sikukuu. Nauliza bei ya kilo moja ya mchele mzuri naambiwa ni shs. 2,000/- !!
Ninapatwa na mshangao mkubwa. Bila shaka hii ni kasi kubwa ya mfumuko wa bei isiyoendana na kipato changu. Nifanyeje? Nishaurini wakuu ni chakula gani siku hizi unaweza kubana matumizi? Nawatakia sikuku njema na maisha bora kwa kila mtanzania.
Ninapatwa na mshangao mkubwa. Bila shaka hii ni kasi kubwa ya mfumuko wa bei isiyoendana na kipato changu. Nifanyeje? Nishaurini wakuu ni chakula gani siku hizi unaweza kubana matumizi? Nawatakia sikuku njema na maisha bora kwa kila mtanzania.