nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,733
- 14,160
Naam kwa fikira za kawaida tu....Wachungaji,wainjilisti,mapadre na ma sista hawa watu wamekula kiapo cha kumtumikia Mungu mpaka kufa kwao.Wameweka nadhiri.
Sasa pale wanapo staafu nini tafsiri yake?
Hasa kwa wale wanaostaafu bado wakiwa na nguvu.
Je? kwenye Biblia kuna nabii au mtume yeyote aliye staafu? au huu ni utashi wa wazungu as usual.
Halafu mwisho kabisa....swali la kizushi kuhusu Biblia halisi ambayo haikuchujwa mbona inafichwa???
Sasa pale wanapo staafu nini tafsiri yake?
Hasa kwa wale wanaostaafu bado wakiwa na nguvu.
Je? kwenye Biblia kuna nabii au mtume yeyote aliye staafu? au huu ni utashi wa wazungu as usual.
Halafu mwisho kabisa....swali la kizushi kuhusu Biblia halisi ambayo haikuchujwa mbona inafichwa???