Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,960
Unajua kipindi cha utafutaji sisi wanaume huwa tunatafta wadada fulani ambao ni wa level hiyo yaan mara nyingi wanakuwa wa kawaida sanaa. Mara nyingi unakuta wala humpendi kivile ila kwasababu anatimiza matakwa yako na hasumbui kwenye hiki wala kile, unajikuta upo nae huyo binti kwenye shida zote, hakuachi humuachi ila wewe akilini mwako unajua kabisa huyu binit hapana kwakwel...hapo umeangilia kwa jicho la kibinadam zaidi.
Sasa badae mambo yamekunyookea na ukimwangalia yule bint sio level yako kabisaaaa na wala humpendi kivile, yaani huwezi spend naye maisha yako yote kama mweza
Muda mwingine unawaza daah huyu dada hata tukijaliwa watoto hawatakua unavotaka bla bla bla nying...(msinijudge..hapa nawasilisha mawazo ya wanaume wengi mjue.ohooo)
Unajikuta unataka uachane nae huyo binti na hapo umepata mtoto m1 wa ajabu yaani, mtoto mzur saana na unampenda kwelkwel na ndo upo nae maisha yanaenda vzur...hata kama kakupendea pesa sawa...au unakuta na yeye anapesa pia ..na maisha yanaenda
Hivyo, Wakuu nauliza utakua unatenda dhambii?
Au je una deni kwa huyo binti
Mind u...hata ukisema uwe na huyu bint uliepata nae shida kuna uwezekano ukamtesa sana sabab lazima utachepuka tuu....na lazima atalia snaaa
So naendelea kuuliza..jee hii ni sawa kwel wakuu??
Mtihani huu ujue
Ndomana skuhiz sis vijana wataftaj weng hatuoi ..tunawazalisha tu..
Unakua na bebi mamaz kibao..unawahudumia fresh maisha yanaendelea..nawee unaendelea kudemka kidimbwi had uzee unakukuta..na badae unaweza tafta kabint kengine under 24 ukakaweka ndani ...urithi unaandika watoto wako tu ..game over
Hapo vip wakuu...ushauri wenu unahitajika saaaana....mtu afanye maamuz sahih hapa
Sio mim lakin...
Sasa badae mambo yamekunyookea na ukimwangalia yule bint sio level yako kabisaaaa na wala humpendi kivile, yaani huwezi spend naye maisha yako yote kama mweza
Muda mwingine unawaza daah huyu dada hata tukijaliwa watoto hawatakua unavotaka bla bla bla nying...(msinijudge..hapa nawasilisha mawazo ya wanaume wengi mjue.ohooo)
Unajikuta unataka uachane nae huyo binti na hapo umepata mtoto m1 wa ajabu yaani, mtoto mzur saana na unampenda kwelkwel na ndo upo nae maisha yanaenda vzur...hata kama kakupendea pesa sawa...au unakuta na yeye anapesa pia ..na maisha yanaenda
Hivyo, Wakuu nauliza utakua unatenda dhambii?
Au je una deni kwa huyo binti
Mind u...hata ukisema uwe na huyu bint uliepata nae shida kuna uwezekano ukamtesa sana sabab lazima utachepuka tuu....na lazima atalia snaaa
So naendelea kuuliza..jee hii ni sawa kwel wakuu??
Mtihani huu ujue
Ndomana skuhiz sis vijana wataftaj weng hatuoi ..tunawazalisha tu..
Unakua na bebi mamaz kibao..unawahudumia fresh maisha yanaendelea..nawee unaendelea kudemka kidimbwi had uzee unakukuta..na badae unaweza tafta kabint kengine under 24 ukakaweka ndani ...urithi unaandika watoto wako tu ..game over
Hapo vip wakuu...ushauri wenu unahitajika saaaana....mtu afanye maamuz sahih hapa
Sio mim lakin...