Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 9,682
- 34,394
Wakuu kwenye harakati zangu za maisha niliwahi kukutana na mwanamke ambae nilijuana nae kupitia rafiki yangu, yule mwanamke kuna msaada flan wa kikazi aliuhitaji kutoka kwangu hivyo akamuomba yule rafki yangu amsaidie kuongea na mimi kuhusiana na shida yake.
Yule rafiki yangu alikuja kunieleza na hapo ndipo nikaanza mawasiliano ya kawaida na yule dada, nilimsaidia na badae tukaendelea na mawasiliano tu ya kawaida, niliogopa kumtongoza ili asije kuniona labda nilimsaidia ili anilipe ngono hivyo nilijiepusha na hilo licha ya kuwa aliniingiza kwenye mitego mingi.
Siku zilienda na badae akanieleza ukwel wake, kwakua alikua ni mrembo aah mi nikaona isiwe kesi nikaanza mahusiano nae bila kujiuliza mara mbili, alikua ni mtu anae jiheshim, suala la kuniomba hela lilikua ni mwiko kwake hadi nikawa najishtukia nampa mwenyewe tu.
Badae alikuja kuniweka wazi kuwa ana mtoto alizaa na jamaa mmoja ambae alikuja kumtelekeza, iliniuma sana kwakua yule jamaa aliezaa nae alikua na kaz alaf akawa hampi matumiz yule dada, nilimshauri yule dada aende kweny vyombo vya sheria ili yule jamaa abanwe awe anatoa matumiz kwa mtoto wake.
Lakin yule dada alikua akilipiga chenga sana hilo suala na hapo ndo nlipogundua kuwa Bado anamapenzi na yule jamaa yake wa mwanzo licha ya kuwa ametelekezwa, ndipo na Mimi nikala Kona kali sana nikamuacha kama vile bado nipo nae lakin badae mawasiliano nikayafutililia mbali na kumblock kabisa, niliogopa yasije kunikuta yake ya kuambiwa nataka nimpeleke mtoto akamsalimie baba yake, si unajua mtalaka hatongozwi.
GunFire
Yule rafiki yangu alikuja kunieleza na hapo ndipo nikaanza mawasiliano ya kawaida na yule dada, nilimsaidia na badae tukaendelea na mawasiliano tu ya kawaida, niliogopa kumtongoza ili asije kuniona labda nilimsaidia ili anilipe ngono hivyo nilijiepusha na hilo licha ya kuwa aliniingiza kwenye mitego mingi.
Siku zilienda na badae akanieleza ukwel wake, kwakua alikua ni mrembo aah mi nikaona isiwe kesi nikaanza mahusiano nae bila kujiuliza mara mbili, alikua ni mtu anae jiheshim, suala la kuniomba hela lilikua ni mwiko kwake hadi nikawa najishtukia nampa mwenyewe tu.
Badae alikuja kuniweka wazi kuwa ana mtoto alizaa na jamaa mmoja ambae alikuja kumtelekeza, iliniuma sana kwakua yule jamaa aliezaa nae alikua na kaz alaf akawa hampi matumiz yule dada, nilimshauri yule dada aende kweny vyombo vya sheria ili yule jamaa abanwe awe anatoa matumiz kwa mtoto wake.
Lakin yule dada alikua akilipiga chenga sana hilo suala na hapo ndo nlipogundua kuwa Bado anamapenzi na yule jamaa yake wa mwanzo licha ya kuwa ametelekezwa, ndipo na Mimi nikala Kona kali sana nikamuacha kama vile bado nipo nae lakin badae mawasiliano nikayafutililia mbali na kumblock kabisa, niliogopa yasije kunikuta yake ya kuambiwa nataka nimpeleke mtoto akamsalimie baba yake, si unajua mtalaka hatongozwi.
GunFire