King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
achana nae. hiyo vita ina gharama sana. kama huna vyeti tafuta nafasi ya shule ujiongeze utafute kazi pengine. utachukiwa na ofisi nzima.
mungu mgawa riziki, fanya kazi kwa bidii na ipo siku utaonwa juhudi zako na wastaarabu. choose your battles wisely
mungu mgawa riziki, fanya kazi kwa bidii na ipo siku utaonwa juhudi zako na wastaarabu. choose your battles wisely