Je ni sahihi nilichofanyiwa?

Je ni sahihi nilichofanyiwa?

Du!,, mi naona ungeuchuna tu, ila anza kutafuta kazi kwingine kwasababu akiona hiyo umepotezea atatafute namna nyingine ya kukunyanyasa na ukimuanika utajenga uadui na wengine hujui ni wangapi wenye tabia hiyo, maisha kazn yatakuwa magumu,, chuna tu tafuta kwingine usepe
 
Mpe tu huyo Afisa kwani mmeo hakukuta bikra, mbona ulikuwa ushawagawia wengi tu kabla ya kuolewa, hivyo ndoa isiwe mwamvuli wa matendo yako.

Naombeni ushauri wana jf kuna ofisa mmoja alinialika kwenye warsha nilikwenda na kushiriki siku kadhaa nikiwa huko akanitaka kimapenzi nikamweleza kuwa Niko kwenye ndoa niliporudi nyumbani akatuma msg ya mapenzi kwangu kuwa nikimpa atanifanyia makubwa hiyo msg ikaonwa na Mme wangu ugomvi mkubwa ukatokea na nikamweleza Mme Wangu hali halisi,na kumtaarifu yule afisa kilichojili sasa siku chache zijazo kuna semina nyingine Jana kanitumia ujumbe hawezi kuniita tena eidha nichague ndoa au pesa na kujiendeleza kielimu naomba ushari kabla sijamuanika kwani Nina msg zake nyingi za kijinga na nimeona kama unyanyasaji kwangu.
 
achana nae. hiyo vita ina gharama sana. kama huna vyeti tafuta nafasi ya shule ujiongeze utafute kazi pengine. utachukiwa na ofisi nzima.

mungu mgawa riziki, fanya kazi kwa bidii na ipo siku utaonwa juhudi zako na wastaarabu. choose your battles wisely

Nina shahada yangu na nipo elimu na ni mwajiliwa wa serikali.
 
Pole kwa maswahiba best yaliyokupata cha kufanya endelea na msimamo wako huo huo wa kulinda na kuwa mwaminifu katika ndoa yako wala usichepuke naye wewe mweleze akileta zake mpeleke kwenye vyombo vya sheria vya haki vinavyohusika huko ndiko atapata fundisho kwani naona anakunyanyasa kijinsia anataka kukulazimisha umcheat mumeo kwani yeye ni nani?

Cha kufanya niletee huyo mtu nitampeleka kwenye vyombo vya sheria kwani wanaume wamezidi kutuonea sana nasi tuna haki zetu za kujilinda, kuulinda jammii na kulinda yatuhusuyo
naombeni ushauri wana jf kuna ofisa mmoja alinialika kwenye warsha nilikwenda na kushiriki siku kadhaa nikiwa huko akanitaka kimapenzi nikamweleza kuwa niko kwenye ndoa niliporudi nyumbani akatuma msg ya mapenzi kwangu kuwa nikimpa atanifanyia makubwa hiyo msg ikaonwa na mme wangu ugomvi mkubwa ukatokea na nikamweleza mme wangu hali halisi,na kumtaarifu yule afisa kilichojili sasa siku chache zijazo kuna semina nyingine jana kanitumia ujumbe hawezi kuniita tena eidha nichague ndoa au pesa na kujiendeleza kielimu naomba ushari kabla sijamuanika kwani nina msg zake nyingi za kijinga na nimeona kama unyanyasaji kwangu.
 
ANTIUE SITAKI KUJAJI LAKINI NAHISI ULIIINGIA KWA MGONGONWAKE AU VYETI VYAKO VINA CHOCHORO NYINGI

au kuna kitu hujakiweka wazi

nahisi pia umeshayatengeneza hayo mazingira zamani

SASA KUMUUMBUA WONT HELP YOU

LA MSINGI FANYA MAAMUZI MAGUM

kaeni pamoja msot out kama jlimuahidi papuchi kabla ya kupata kazi basiii huna budi kwani ahadi ni deni

HIS HE UR BOSS???
IF YES

WEWE NDO MWANAMKE PEKEE HAPO KAZINI???
ILIKUAJE HAJUI KAMA UNA MUME

yawezekana uliyatengeneza mazingira and yawezekana you are the one who need to change

ULISIMA MAMBO YA PAVLOV NA MBWA WAKE FORM 3 COORDINATION?????

unamtamanisha mtu alafu chakula umpi unazani atafanyaje.???

any way ukishaingia kwenye ndoa usitengeneze ,azinga RAFIKI NA VIJANA WA KIUME

WEWE NI MKE WA MTU THATS IT
huyo ni bosi wako basiii MPAKA MTU AKUTONGOZE ILIKUAJE

ULITENGENEZA MAZINGIRA au labda kuna kitu ujaweka wazi

ila pole wanawake tunapitia mengi
 
Ungekuwa mstaarabu ungemtariifu mumeo kabla hujaenda kwenye huo mwaliko wa kwanza ili upate baraka za mumeo lakini kama ulithubutu kumficha mumeo hii maanayake unautaka huo mchepuko.
 

Mwambie umechagua vyote vitatu yaani Pesa,Ndoa na kujiendeleza kielimu.
 
Kabla sijachangia wazo langu kwanza ningependa kujua MUMEO AMEKUSHAURI NINI JUU YA HILO?
 
Mkuu mbona simple kakwambia uchague mume au fursa wewe umechagua nini .....Kabla ya kumuanika fanya kwanza hesabu ya gharama utakazotumia kumuanika na kujibu mashambulizi utakayopata toka kwake ili usije ukaishia katikati ukachekwa. Kwanini mumeo hakuchukua uamuzi wa kiume wa kuongea nae live.Sipendi nikukatishe tamaa usipambane na mtu kwa nia ya kulipa kisasi , muwekeni wazi huyo bwana boss. Halafu sijui inakuaje tu haya mambo wale wanaoweza kupamabana nayo huwa hayawafiki bali huwafika watu wasio na kauli nzito vinywani mwao. Pole sana , huwa nina hasira sana na hao mbwa wanaomdhalilisha mwanamke kwa kutumia nyadhifa walizo nazo. Kwangu mimi watu hao hawana tofauti na mbwa.

Tena usije kukosea kwa kumuamini mtu eti kwa sababu sijui analingana na mzazi wako acha kabisa. Fanya kazi yako kwa uaminifu na Mungu atakupa nafasi nyingine kumbuka shetani huwa hana zawadi za kudumu, zawadi zake ni kama moto wa mabua. Tazama anajaribu kukuonyesha fahari yake ili uingie mtegoni kuwa mwangalifu.
 
Mpe hata maramoja halafu umwambie ''iwe siri yetu"
 
teh usikute mpo wengi mnapigwa mzunguko kweli ukimwi hautawaacha wana ndoa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom